Harmonize na Rayvanny ndiyo wasanii wangu bora

Harmonize na Rayvanny ndiyo wasanii wangu bora

1. Kwangwaru
2. Teacher
3. Single again
4. Binadamu
5. Aiyola
Aisee kwa hapa Bongo hizo ngoma ukizipambanisha na ngoma ya Msanii yeyote hapa ngoma. Majaji wakawa ni wale wanaoujua muziki yaani hizo mapema tu zinatoboa
 
1. Kwangwaru
2. Teacher
3. Single again
4. Binadamu
5. Aiyola
Aisee kwa hapa Bongo hizo ngoma ukizipambanisha na ngoma ya Msanii yeyote hapa ngoma. Majaji wakawa ni wale wanaoujua muziki yaani hizo mapema tu zinatoboa
Yupo vizuri sana harmonize
 
Kuna siku radio one kipindi cha nani zaidi alipambanishwa na Diamond, Diamond alipigwa gap la kura 15. Kwanza Diamond sijui huwa anaimba nini
Huyo anapiga kelele alikua anaimba zamani Sasa hivi anapiga kelele
 
Ila harmo huyu jamaa namkubali natural tuu...
Hi jamaa inajua sana
Huwa nikikutana na shabiki wa harmo huwa na mbless 10k mkuu
Mkuu na mimi shabiki wa harmo hilo ten nitumie kwenye mpesa 😹😹😹
 
Yupi huyo


Intro

Aweeh..

Si kamejichanganya haka ka Jackie umeme

kamejichanganya haka ka Jackie umeme

kamejichanganya haka ka Jackie umeme

kamejichanganya haka ka Jackie umeme x2

Huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

Masela huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

(Jaivah)

Chorus

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

Masela huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

Verse 1

Si kautaka mwenyewe huyooooo

Kawaletea wahuni shobo huyoo

Sisi kwetu hatumli kwa macho huyoo

Si kautaka umaarufu huyoo

Oya mwanangu Isiaka peleka moto

Chorus

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Verse 2

Oya hapo kwenyewe vipi

(Hapo kwenyewe shega kautaka mwenyewe wahuni tunamega)

Oya hapo kwenyewe vipi

(Hapo kwenyewe shega kautaka mwenyewe wahuni tunamega)

Eti mtoto kalilia nini mtotooo

(Kalilia wembe)

Mtoto kapewa nini mtotooo

(Kapewa wembe)

Mtoto kataka nini mtotooo

(Kataka wembe)

Mtoto kapewa nini mtotooo

(Kapewa wembe)

Chorus

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka
 
Intro

Aweeh..

Si kamejichanganya haka ka Jackie umeme

kamejichanganya haka ka Jackie umeme

kamejichanganya haka ka Jackie umeme

kamejichanganya haka ka Jackie umeme x2

Huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

Masela huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

(Jaivah)

Chorus

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

Masela huyo mtotooo

(Huyo mtotooo)

Verse 1

Si kautaka mwenyewe huyooooo

Kawaletea wahuni shobo huyoo

Sisi kwetu hatumli kwa macho huyoo

Si kautaka umaarufu huyoo

Oya mwanangu Isiaka peleka moto

Chorus

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Verse 2

Oya hapo kwenyewe vipi

(Hapo kwenyewe shega kautaka mwenyewe wahuni tunamega)

Oya hapo kwenyewe vipi

(Hapo kwenyewe shega kautaka mwenyewe wahuni tunamega)

Eti mtoto kalilia nini mtotooo

(Kalilia wembe)

Mtoto kapewa nini mtotooo

(Kapewa wembe)

Mtoto kataka nini mtotooo

(Kataka wembe)

Mtoto kapewa nini mtotooo

(Kapewa wembe)

Chorus

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka

Mtoto kautaa,mtoto kautaa

Mtoto kautaka,mtoto kautaka
Daaah ujue nini
 
Yaani Hawa jamaa ndio WASANII ninaowasikiliza Tanzania Leo wameachia Ngoma Kali sana ya Harmonize inaitwa sherehena ya Rayvanny inaitwa namtaka.

Aisee hii weekend ni kuvibe nazo tu ni Ngoma Kali sana nafikiri mmeona wadau au nyie mmezionaje Hawa jamaa wako vizuri sana nasema ndio WASANII WANGU wa Tanzania milele ninazo Ngoma zao tu Hawa jamaa.

Una matatizo makubwa sana
 
Back
Top Bottom