Harmonize na Wimbo wake Mtaje

Daaah! Nancy angemsikiliza yule msela nya... Leo angekuwa kaachika baada ya kuchuja au yupo vibarazani mabibo anagombana na wamama wenzie mambo ya marejesho ya vicoba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jamani khaaaah
 
Unajiuliza konde kumuimbia wimbo kajala tena singo tu...
Mwenzake bishoo wa manzese na tiptop alimuimbia Nancy album nzima[emoji1787]
Alikua ananyonya icho kipindi.
 

Yule bibi kizee Kaja anatoa kwa mpalange kama hana akili nzuri ndomana dogo alidata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…