Harmonize na Wolper mapenzi tele tele

Dogo Harmonize katisha sana week hii kachafua mitandao ile mbaya. Team Wema wanaangaika nae insta huko yani hakuna wajinga kama team Wema.
 
Naomba kufahamu jina halisi la huyu kijana harmonize , then nije na hatma ya ili penzi baada ya miezi mitatu
 
Amefunzwa mapenzi na bibi mwanamke hupigwa na upande wa khanga. Jamani Wolper na mimi nakutaka
 
Dah stress ni noumer!! Big up kwa dogo kwa upoa mtu mzima.
 
Mafala wanahonga magari ya bei mbaya, wahuni wanamega Tu kisela. Ndio hapo mi nachekaga Tu.
 
Mkuu kweli harmonize nimekuvulia kofia hatari sana ongera umetimiza ndoto zako na mm ndoto zangu kwa rose ndauka nampeda sana aisee
 
Mkuu kweli harmonize nimekuvulia kofia hatari sana ongera umetimiza ndoto zako na mm ndoto zangu kwa rose ndauka nampeda sana aisee
Me kale kademu kaigizaji sasa hivi kanafanya matangazo na airtel Iren paul
 
Usikute Wolper hapo ndio kafika na mara mtoto mimba mara wanalea.
 
Kweli ni ngumu sana kuamini hii kitu, si bure
Umeonaee mkuu mm mwenyewe siamini navomjua wolper sio MTU wa maserenget boy nahis hii itakuwa wanatengeneza kick ili kupata attention ya mashabiki kwnye Kazi zao zinazokuja especially harmonize
 
Mkuu kweli harmonize nimekuvulia kofia umevua chupi ya wilper dah hatari sana ongera umetimiza ndoto zako na mm ndoto zangu kwa rose ndauka nampeda sana aisee
We tunafanana kihisia,yani huyo ndauka ananitoa sana udenda...sema mi nna na kabonus coz namtamani sana na huyu Batuli aise(yobneshi).
 
Ila kiukweli sisi vijana ni marisk taker sana,hivi huyo wolper kweli ndio wa kujiopolea??Sina hakika Harmonize hata miaka 25 kafika.Afu kama sijakosea hata Diamond amemkula huyo bidada sasijui kama ni mwake kumpanda shemeji yako na hapo sijui kama tutafika umri wa kustaafu kwa hiari wa miaka 55.
Jamani nimeongea tu[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] watoto wa sikuhz wapenda watu wazima saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…