Hako kamakonde kanapenda sifa sifa na kujimwambafai hivi,,,, mie toka aanze kusifia ndege sijui nini nilishampuuza ndugu zake wengine mpaka leo hawajalipwa korosho ye anaongea ushubwadaIla sijui nani alimshaurigi kusuka na kuweka rangi hiyo kwenye nywele.
Mwanzo alikuwaga na muonekano poa sana.
Macho ya watu wengi yapo kigoma kijana kafanya time mbaya hiyo imepelekea kukosa attention ya watu.
Mbona Dar sehemu za kulala zipo nyingi sana,Watu wa dar ni wakarimu sana ujueWamakonde wana tabu sana, wengine wanakuja kwa baiskeli kutoka Mtwara kuja kuangalia mechi ya Simba na Yanga, sasa sijui watalala wapi!
Unampuuza Mmakonde kwa kusifia ndege wakati huo huo unamwabudu domo kwa kuimbishwa Bashite babalao. Wabongo kw unafiki 100 100Hako kamakonde kanapenda sifa sifa na kujimwambafai hivi,,,, mie toka aanze kusifia ndege sijui nini nilishampuuza ndugu zake wengine mpaka leo hawajalipwa korosho ye anaongea ushubwada
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo lilikua ombi la mwisho kwa mondi baada ya kumuedit sana lkn sura inagoma, akaomba japo kuweka nywele za rangi rangiIla sijui nani alimshaurigi kusuka na kuweka rangi hiyo kwenye nywele.
Mwanzo alikuwaga na muonekano poa sana.
Hii ndio rahaaa ya kurudi nyumbani
Itakua harmo alifindishwa ma Diamond michezo hio,maana Diamond kuvua nguo ameanza kitambo sana.
Acha roho mbaya wewe,Macho ya watu wengi yapo kigoma kijana kafanya time mbaya hiyo imepelekea kukosa attention ya watu.
Ubunge kaukosa kwan kavua nguoHello fellas
Kwa wanaofuatilia kinachofanyika leo Tandahimba
Naona Jeshiiii kaamua kulipa sasa, kijana naona
Anaanza kutisha maana kaanza kwa vitisho.
Nimeona imetolewa kafara na kufanyiwa tambiko
Live.
Naona nyomi si haba kwa kweli .
Kila NTU AVE NA KWAO.
I like this guy, anajituma tumuunge Mkono, tukiwa
Na wasanii wengi wa sampuli hii ya jeshi na bin
Laden naona sanaa yetu Ikifika mbali.
Jeshiii kaamua kuweka kiingilio elfu kumi ili
Akasaidie hospital mtwara , Mondi wote tunajua
Kiuchumi si haba so kuweka show bure kwake ni sahihi na ni utashi wake kwa kuwa anasherehekea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kama huyu [emoji121][emoji121]angekuwa msanii nahakika asingefikisha hata miezi 2 ya usaniiHii inanifanya niamini duniani kuna unafiki mkubwa sana.. unakuta kuna wadau wanamsifia kapendeza na hayo madude kichwani... ni sawa na rayvanny sijui walio karibu nao hawawaambii
Mtu kama huyu [emoji121][emoji121]angekuwa msanii nahakika asingefikisha hata miezi 2 ya usaniiIla sijui nani alimshaurigi kusuka na kuweka rangi hiyo kwenye nywele.
Mwanzo alikuwaga na muonekano poa sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wamakonde wana tabu sana, wengine wanakuja kwa baiskeli kutoka Mtwara kuja kuangalia mechi ya Simba na Yanga, sasa sijui watalala wapi!