Harmonize naona umeanza kututisha sasa

Wakati anasota huko matopeni akiimba maraika mlikuwa hamna time nae hata kumuona mlikuwa hataki, leo simba kamlea na kumfikisha hapo mshaanza kelele hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Simba kipindi yupo tandale anakaba ulikiwa huma time naye baada ya Bob Junior kumlea na kumleta hapa mnaanza kelele hahhaahhaah.. dunderhead

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jembe ni Jembe anampoteza huyu kijana.

Kwa kweli ku manage msanii si kitu kidogo kumbe.. kwanza hata mwonekano wa kisanii huyu mmkakonde unamuondoka sijui.kama ana program ya mazoezi na lishe.. ona kitumbo kama kimejaa maembe boribo na rangi ya ngozi kama ndo.kaingia leo mjini toka Tandahimba..dah dogo.keshapotea
 
Amejipanga kwa Majibu toka Bogoyi-Kigoma Ujiji?? Maana kule unawakuta Wamakonde kibao wanajifunza maulozi. Afanye Matambiko bila kumgusia Nasib maana moto wake hatauzima. Jiulize kwanini kiba anamuogopa mondi wakati wote wa Kigoma?. Namshauri afanye ayeke kujilinda ila sio mumdhuru Mondi atakua ameamsha vita. Kuna mzee mmoja Ujiji anaishi katikati ya mti wa msufi na hana familia, huyo ndo babu ya Mondi kiukoo sasa unaambiwa yule mzee ni nuksi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…