Wewe una miezi mingapi ya sanaa??Mtu kama huyu [emoji121][emoji121]angekuwa msanii nahakika asingefikisha hata miezi 2 ya usanii
Hajui nini sanaa anaandikaandika tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi mimi nimesema nampenda domo??? Umekula maharagwe ya wapi we jamaa?Unampuuza Mmakonde kwa kusifia ndege wakati huo huo unamwabudu domo kwa kuimbishwa Bashite babalao. Wabongo kw unafiki 100 100
Ndugu mond kwa Tz halinganishwi, yupo kwenye category ya peke ake, na wala sipo hapa kumlinganishaaliyofanya vizuri Sana ni mondi wa pili ndio huyo harmonize watatu Rayvanny wanne Nandy.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unampuuza Mmakonde kwa kusifia ndege wakati huo huo unamwabudu domo kwa kuimbishwa Bashite babalao. Wabongo kw unafiki 100 100
Wamakonde wana tabu sana, wengine wanakuja kwa baiskeli kutoka Mtwara kuja kuangalia mechi ya Simba na Yanga, sasa sijui watalala wapi!
Jana kajiita Mbunge wa Tandahimba, na watu wamerekodi.Hako kamakonde kanapenda sifa sifa na kujimwambafai hivi,,,, mie toka aanze kusifia ndege sijui nini nilishampuuza ndugu zake wengine mpaka leo hawajalipwa korosho ye anaongea ushubwada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huyo Diamond kabla ya kusaidiwa na Bob Junior nani alikuwa anamjua...?? Acha roho ya kike...Wakati anasota huko matopeni akiimba maraika mlikuwa hamna time nae hata kumuona mlikuwa hataki, leo simba kamlea na kumfikisha hapo mshaanza kelele hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Simba kipindi yupo tandale anakaba ulikiwa huma time naye baada ya Bob Junior kumlea na kumleta hapa mnaanza kelele hahhaahhaah.. dunderheadWakati anasota huko matopeni akiimba maraika mlikuwa hamna time nae hata kumuona mlikuwa hataki, leo simba kamlea na kumfikisha hapo mshaanza kelele hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwanza na pili sawa, ila wa tatu Nandy, wa nne Marioo, watano ndo huyo Ray vanny acha kukaririaliyofanya vizuri Sana ni mondi wa pili ndio huyo harmonize watatu Rayvanny wanne Nandy.
πππ
Tobaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapuuzi sana kale ka jamaa
Jembe ni Jembe anampoteza huyu kijana.
Tobaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapuuzi sana kale ka jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu vipi apo?????!!!
avatar mkuu ni hatari snNdio faida ya Makabila sasa hivi