Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Baada ya Konde kulia mbele ya media ku justify ubaya wa mondi, kumbe nae alimfanyia Angella [emoji23][emoji23]
"Sikuwahi kuwa na mimba ya Harmonize wala hatukuwahi kuwa kwenye mahusiano na hakuwahi kunitongoza hata siku moja. Ni kweli walichukua account za YouTube na nyingine lakini account yangu ya Instagram waliniachia hawakuwahi kuichukua wala hawakunichaji pesa yoyote, na hata nilipoondoka hawakunipa hata senti tano ya kuanzia maisha[emoji24]."
"Baadae walinirudishia account zangu zote, na kwasasa zinanisaidia sana, nawashukuru sana kwa hilo[emoji120] namshukuru Mungu sasa hivi pesa zote za nyimbo zangu zinaingia kwangu moja kwa moja, angalau naishi maisha ya amani, siyo kama zamani, siwezi kusema napata shilingi ngapi lakini Alhamdulillah napata kitu tofauti na zamani."
"Sikuwahi kuwa na mimba ya Harmonize wala hatukuwahi kuwa kwenye mahusiano na hakuwahi kunitongoza hata siku moja. Ni kweli walichukua account za YouTube na nyingine lakini account yangu ya Instagram waliniachia hawakuwahi kuichukua wala hawakunichaji pesa yoyote, na hata nilipoondoka hawakunipa hata senti tano ya kuanzia maisha[emoji24]."
"Baadae walinirudishia account zangu zote, na kwasasa zinanisaidia sana, nawashukuru sana kwa hilo[emoji120] namshukuru Mungu sasa hivi pesa zote za nyimbo zangu zinaingia kwangu moja kwa moja, angalau naishi maisha ya amani, siyo kama zamani, siwezi kusema napata shilingi ngapi lakini Alhamdulillah napata kitu tofauti na zamani."