Harmonize ndani ya usafiri mkali

samsun

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
7,386
Reaction score
5,965


Habari zenu wakuu.

Kwa sasa sio jambo la ajabu kwa msanii wa TZ kuwa na usafiri,ila kilichonishangaza kwa msanii Harmonize kwa kipindi kifupi tu kuweza kumiliki gari aina ya Mark X ina maana DIAMOND anamlipa vizuri sana
 
Zinauzwa wapi na mimi nikanunue?
 
WCB inaonekana kuna hela sana ila cshangai mbona Madee Ali kamnunulia ndinga Janjaro
 
Anastahili kuwa na ndinga, mda si mrefu ataanza kuiingizia WCB mpunga mrefu kwa shows za ndani na nje

Hawanywi pombe, hawaendi club wao ndani tuu tuu kurekodi na kufanya mazoezi ya muziki na mwili
 
Reactions: nao
Mziki unalipa sema watu walikua hawajaujulia sasa Diamond anawaonesha njia.
 
Hanscana ana harrier zile new model

wakati kuna mtu yuko mwaka wa 5 mtaani ana degree yake ya mass communication anaona bora awe mpanga mabox kwenye supermaket ya nakumatt


haya maisha haya we acha tu

ila ukiusikiliza huu mwimbo kwa makini utajua namaanisha nini


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…