Ni kwellllWimbo wa Dounia umefanya nijue ana akili kweli!
Wimbo mtam sana.
Ila napigilia msumari kauli niliyowai kuskia kwa Diamond kuwa kwa burudan za kimataifa kutoboa usijar tungo busara bali beat na kumiliki jukwaa.
Hapa ndo diamond na squad yake kanawaacha mbali. Wimbo wa Harmo kwa tunzi na beat ni wetu tu!
Ni mtazamo wang sina uteam, mana binafs sijawai kuhama kundi la rhumba na sebene!
Kwa hilo sipingi.Wimbo wa Dounia umefanya nijue ana akili kweli!
Wimbo mtam sana.
Ila napigilia msumari kauli niliyowai kuskia kwa Diamond kuwa kwa burudan za kimataifa kutoboa usijar tungo busara bali beat na kumiliki jukwaa.
Hapa ndo diamond na squad yake kanawaacha mbali. Wimbo wa Harmo kwa tunzi na beat ni wetu tu!
Ni mtazamo wang sina uteam, mana binafs sijawai kuhama kundi la rhumba na sebene!
Hata mimi naupenda na beat yake naipenda. Sema jamaa kuna muda anakuwa na uandishi flani naupenda. Kwenye jeshi, na mtaje napenda maana hakuna vingereza vingi na uandishi umekaa poa sana.Kiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa,Ila katika kizazi hichi tulicho Sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli Mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.
Mama Paula naona umeanza mdogo mdogo kukubali msamaha.Kiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa,Ila katika kizazi hichi tulicho Sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli Mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.
Ni kweli sema haya mambo ya kutaka kwenda international ndio yanauaga mziki mzuri.Hata mimi naupenda na beat yake naipenda. Sema jamaa kuna muda anakuwa na uandishi flani naupenda. Kwenye jeshi, na mtaje napenda maana hakuna vingereza vingi na uandishi umekaa poa sana.
Diamond alikuwaga napenda uandishi wake wa maneno ya kisw kitupu bila kingereza na jinsi alivyokuwa anachagua maneno ya kisw rahisi lakini alikuwa akiyapangilia vizuri.
Ubaya kinachoniumiza maneno neno maneno
Kwa ndugu, majirani kwanini anawapa misemo
Najaribu papasa huenda kwa macho nitaona chochote
Ila ndo kutwa mikasa na nazidi kutafuta huenda niokote
Nilikuwa napenda tungo zake za hivi. Hata zuchu nilipenda uandishi wake wa wimbo wa nisamehe.
ile ni one of the best bongoflava song.Huyu mwamba niliikubali Ile ngoma yake ya Jeshi
kabisa hata mimi kuna mtu nilikuwa namwambia kuhusu huu wimbo umetulia sanaKiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa,Ila katika kizazi hichi tulicho Sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli Mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.
Jamaa yupo vizur sana ukiisikiliza bakhresa ukiwa umetulia ni bonge la ngomaKiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa,Ila katika kizazi hichi tulicho Sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli Mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.
Ukilitaka soko la kimataifa lazima ukubaliane na hiyo situation, Diamond ilimlazimu kubadilika huku akilaumiwa na wale waliokuwa wakipenda uandishi wa maishiri yake lakini hakuwa na namna kwani analitamani sana soko la nje kwa ambao Kiswahili hawakifahamu.Ni kweli sema haya mambo ya kutaka kwenda international ndio yanauaga mziki mzuri.
Kazi kwao Ila wasisahau na kwao.Ukilitaka soko la kimataifa lazima ukubaliane na hiyo situation, Diamond ilimlazimu kubadilika huku akilaumiwa na wale waliokuwa wakipenda uandishi wa maishiri yake lakini hakuwa na namna kwani analitamani sana soko la nje kwa ambao Kiswahili hawakifahamu.
Hii ni challenge itakayowakabili wasanii wengi popular pale watakapoamua kupambana ili wavume mbali nje ya mipaka, ni ngumu lakini kila artist apambanie malengo yake.