Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Utapigiwa usjali mpaka jehanam utawekewa nyimbo zote.Ukimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.
Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
Ni sawaa ila hata ukiweka hakiba basi iwe nzuri ya kiakili na kiafya yakoNothing to comment here, ila kwa kuwa umetoa mawazo yako sawa, wacha niweke akiba ya maneno.
Sio upofu mkuuAISEE KWELI KUPENDA NI UPOFU
TIME WILL TELL
Hahahaahhaahha ayaaa ngoja tutakugongea ya baba laoUkimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.
Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
Asantee na wewee tulia Seblen kwako asaivi uchezee JfAsante kwa taarifa mkuu
🤣🤣🤣 Unaweza kukuta mtoa ni harmonize mwenyewe kaja kujipa promo humuKwa akili yako fupi utataka kumfananisha diamond na vijana wa ovyo kama harmonize
🤣🤣🤣tumemshtukia mashabiki wa harmonize ni ovyo sana😂😂😂🤣🤣🤣 Unaweza kukuta mtoa ni harmonize mwenyewe kaja kujipa promo humu
Huo anakimbiza mtwara chitoholiHarmonise kweli anakimbiza sanaaa hasa ukitembea kumbi nyingi za Starehe ngoma zake ndo zina bamba sanaaa.
Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.
Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki
Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.
Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.
Harmo kwasasa Nyota nzuriii.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona una vidole viwili tu miguuni [emoji38][emoji38]Ukimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.
Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
Vilikatika mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu mbona una vidole viwili tu miguuni [emoji38][emoji38]