Harmonize ni star anayekimbiza sanaa kwa sasa

Harmo ana kipaji na ni mpambanaji ili alifanya haraka kutoka WCB halafu kwa nyodo! Haiba pia inamponza pamoja na management mbovu aliyonayo

Akiweza atulie ajipange vizuri...apotee hii miezi mitatu mpaka Dec, aonekane hadharani mara chache na kwa matukio maalum...
Ajipange ajibrand upya... Asitoe tena mipasho..arudi kuwa yule Harmo wa WCB..Ampe Mondi heshima yake kiutu uzima.. Huo ni ukomavu..! Ajitenge na media zenye nia ya kumkosanisha na washindani wake..
Management yake AKIWEZA aifanyie overhaul..Aajiri watu wenye uwezo wa kumtoa hapo alipo...atafika mbali
 
Yeye hana akili ukijumlisha na aliemtoa wcb ili amtumie nae kila alichoanzisha kimekufa,skylight band chali,jembe beach chali,jembe fm yani hoi bin taaban haina hata mtangazaji mmoja ambae anajulikana[emoji16][emoji16]
 
Yeye hana akili ukijumlisha na aliemtoa wcb ili amtumie nae kila alichoanzisha kimekufa,skylight band chali,jembe beach chali,jembe fm yani hoi bin taaban haina hata mtangazaji mmoja ambae anajulikana[emoji16][emoji16]
Huwa tunaaswa LEARN FROM THE BEST! Je Harmo alizingatia hili!?[emoji848][emoji2827]
 
Reactions: Qwy
Digital platforms zinatengenezwa how.....?

Ina maana huko Sportfy, Tidal, Itune,Boomblay duuu.......😀😀😀😀😀😀😀😀

Sometimes kama kitu hujui bora ukae kimya hupungukiwi kitu.
Dah Asantee ila hakuna kinacho shindikanaa babuu
 
Jamaaa yupo njema, singeli,mdundiko kama juma mpogo,ukija exponser yumo, ukirud mziki wa akina mapholisa yupo, ukimalizia na amapiano ndo hatar
 
Ukimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.

Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
Si wangepiga kwaya mkuu?
 
Ukimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.

Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
Hivi wKipiga nyege nyegezi mbingu utaiona kweli?
 
Uzi mzima unajibu reply za kila mtu
Uchawa wako kwa wcb kila mtu anajua ndio wanakupa bando.
Unamlazimisha mtoa mada awe chawa wa wasafi kama wewe si katoa maoni yake?
Utakuja kuolewa Dogo
Hivi mtwara bado mnakulaga mbwa?
 
Reactions: Qwy
Sizungumzii You Tube, nazungumzia wanunuzi wa nyimbo Spotify, I-tune, Boomplay, Tidal na nyinginezo. Hayo ni mauzo yanayodhihirisha kukubalika kwa nyimbo za muhusika.

Yaani anazidiwa hata na Zuchu sasa kumlinganisha na magwiji wa mauzo kwenye digital platforms yaani Rayvanny na Diamond ni kichekesho cha karne.

Ana diehard fans wachache wenye kelele nyingi lakini nyimbo zake haziuziki kivile ndiyo hapo anapoumbuka, fikiria shows za clubs USA zinavyomuumbua kwa kuhudhuriwa na watu wachache ndiyo ujue bado sana huyo dogo. Nina uhakika hizo baa anazofanyia shows hata ingekuwa ni Zuchu zingejaa japo kwenye hilo nalaumu zaidi promoters.
 
Mdau pesa ya shoo si kashapata so ibume isibume yeye inamuhusu nini
 
Hizi habari za kudaiwa kodi ya pango ni za kweli?
 
Reactions: Qwy
Team harmo na domo zinaumanaa tyuuuh lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…