Harmonize nimekunyooshea mikono juu you are talented..! Shuhudia collaboration mpya Marioo ft Harmonize..!

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Mimi nimeona nisiwe mnafki huyu mmakonde akitulia huwa anafanya unyama Sana,
tangu asubuhi wimbo naurudia rudia tu.
Japo marioo naye hajapoa lakini nachelea kusema harmonize kamfunika marioo Sana mule.

Hii ni moja ya collabo bora Sana maana imejumuisha vichwa viwili na wala sio vilaza..

Kwa sasa marioo na harmonize ndio game changer wa bongo fleva tuliobaki nao huu ni ukweli mchungu.

 
For me sijaona ukali wa Hiyo ngoma kuanzia melody, beat mpaka corus labda uniambia kwenye uandishi angalau wamejitahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…