vulturine vulture
Senior Member
- Sep 5, 2019
- 154
- 99
Harmo aache kulialia alipe hiyo hela ya kuvunja contract kwasisi tulio Soma course ya biashara tunaiita law of contract na katika mkataba wowote Kuna kuwaga na terms of contract ndani yake ambayo yametokana na makubaliano mlioingia Kati yenu.Kwangu me naiona hiyo ni ndogo Sana tofauti ninavyoonaga kwa wenzetu hapa hapa tu Africa kiss Daniel aliambiwa alipe bil 1 Kama fidia yakulipa mkataba na label yake.
Kosa la Diamond ni nini hapo??? Mkataba aliousaini ndio umemtaka alipe hizo fedha tatizo lipo wapi kwa Diamond.
Unakumbuka alipomtoa lakini?Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Kipindi anatoka watu walimdiss dogo kuwa hatofika mbali ila Mond alimkingia kifua mpaka alipo Leo ila hayo ndo anayolipa baada ya kufanikiwaDogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Ogopa Sana Kupewa Msaada Na Vijitu Viswahili Swahili.Unakumbuka alipomtoa lakini?
Aiseee,hatari snaAsihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Sasa anamlilia Nani wakati kipindi anafunga mkataba alikua yeye na wazazi wake namshauri alipe na kuanza kupambana ata sisi shabiki zake tutamuona wa maanaAsihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.