ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
kwani wakati anapanga kujitoa hakujua mkataba unasemaje? mbona analalamika kama kaonewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaaaaaKorosho ndiyo zinatupa kibuli acha tujitegemeee bhana
wewe uliviona kama vilikuwepo? malalamiko kwenye kuvunja mkataba huwa hayaishi na watu huwa wanakuwa na sababu zao za msingi bro so sitakuelewa unaniambia nini hadi unithibitishie kwamba ulikuwepo na ukaviona otherwise ww ni mwamba ngoma unavutia kwakoAmekuuliza hilo swali makusudi maana unaongea bila kufikiri....Hivi hakuona hivyo vipengele wakati ana saini?
Nambie DM,kweli yajayo....................?kwani unateseka?
yajayo yana Neema za AllahNambie DM,kweli yajayo....................?
Una taarifa zile V8 mbili za zawadi jamaa kachukua kwa mkopo na siyo cash ila huku mtaani watu wanajua jamaa katoa cash zaidi ya 400
Muwe na vichwa vya kuelewa.. Kasema Mil 500 na gharama ya kila nyimbo aliyotengeneza akiwa wasafi.. Which means inaweza kufika bil 1.. Maana nyimbo za wasafi ikiwa cheap ni dola 15.000Bora amejitoa, kama hata 500mil tu alikua hana hadi auze nyumba inaonyesha wazi alikua halipwi vizuri, level ya Harmonize hatakiwi kukosa 1 billion kwenye account imekaa tu. Huyu ni msanii mwingine anakimbia wasafi, ukiona hivyo jua kuna kitu, Mond inaweza kua ni boss mbaya sana, watu walivyo wajinga wakimpenda celebrity wanahisi kila anachofanya ni perfect, wanasahau ni binadamu walewale tu.
Suala la kuwekeza pesa ni akili ya mtu.Bora amejitoa, kama hata 500mil tu alikua hana hadi auze nyumba inaonyesha wazi alikua halipwi vizuri, level ya Harmonize hatakiwi kukosa 1 billion kwenye account imekaa tu. Huyu ni msanii mwingine anakimbia wasafi, ukiona hivyo jua kuna kitu, Mond inaweza kua ni boss mbaya sana, watu walivyo wajinga wakimpenda celebrity wanahisi kila anachofanya ni perfect, wanasahau ni binadamu walewale tu.
Una uhakika diamond hajaimba na Wizkid.[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu kama hicho kwani domo yy hataki kuimba na wiz kid?
Roho mbaya inakusaidia nini nduguHuyu kesha kufa tayari kimziki... arudi tuu huko ntwara na ajikite na kilimo cha Korosho
Ndio au zile video alizotengeneza nazo kiki wakati yuko naye unazani ni collabo?Una uhakika diamond hajaimba na Wizkid.
Msapoti amethubutu kujaribu sasa ulikuwa unataka miaka yote amtumikie mtu tuAkimaliza kulipa deni washamchoka na minyimbo yenyewe copy kwa Diamond.
Benchi kwaheri
You niggas better remember losers never love a winner, Bitches never love a loser, beggars never can be choosers.Ila hapa ndo huwa nasema maisha ya kuigiza siku zote in ghalama! kwahiyo mbwembwe zoooooote hata million 500, imemtia jasho???? mpaka ameuza vibanda 3 na bado hajamaliza den??? sasa huo utajili ambao huwa wanajitapa uko wapi???????????? hiv wanaelewa maaana ya utajiriii
You niggas better remember losers never love a winner, Bitches never love a loser, beggars never can be choosers.Nielekeze na mimi nka chukue ya mkopo..kitaani wajue cash[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wabongo mna jua kuandika
You niggas better remember losers never love a winner, Bitches never love a loser, beggars never can be choosers.Huyu kesha kufa tayari kimziki... arudi tuu huko ntwara na ajikite na kilimo cha Korosho