Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kiba kashatumika kama toilet paper sahivi yuko kwenye septic tank baada ya kuflashiwa🤣🤣🤣🤣🤣Kiba bado anahesabika kama msanii wa ushindani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba kashatumika kama toilet paper sahivi yuko kwenye septic tank baada ya kuflashiwa🤣🤣🤣🤣🤣Kiba bado anahesabika kama msanii wa ushindani?
Uko sahihi kiongozi ndio maana mpaka sasa kinachongoolewa ni Matukio kati yake WCB na Clouds.Hivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!
-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!
Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao! Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds! Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi
-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo
-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha
UNAFIKIIIII
Nafikiri hiyo pia ni kama kiki kwake ambayo hujadiliwa kwanza then ndio mtu aende kucheki wimbo wake ambapo karibia wasanii wote hutumia mfano Roma alipotekwa alivyorudi na wimbo likaanza jadiliwa kwanza kutekwa kwake hata Diamond toka anaachana na wema unatoka wimbo wakirudiana unatoka wimbo wakiachana na zari unatoka wimbo ni kamtindo flani huwa kinatumikaga na ukicheki toka atoke wcb hajawahi ongelea hilo swala wala kufanya media tourUko sahihi kiongozi ndio maana mpaka sasa kinachongoolewa ni Matukio kati yake WCB na Clouds.
Watu wamesahau kuwa Jana kaachia wimbo wake mpya, ambalo ndio lilikuwa lengo hasa la mahojiano ya Jana.
daughter of the bitchKajifunze kwanza kuandika kenge wewe
Mhh! Tanzania uwaziri kila mtu anastahili.Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu kama hicho kwani domo yy hataki kuimba na wiz kid?Kamtolea domo kitambo
Muimbaji mwenye kipaji kikubwa ,jina kubwa ila mfukoni apeche aloloBoss hivi mavoko unamuonaje
Harmonize alifundwa vizuri pale kiwandani USAFINI. Hawezi kukubali kujibu maswali ya ovyo ovyoNimemsikiliza Dozen hayupo kweny ule mzuka wake kama walivyomuweka mavoko mtu kati,mamy baby ndo alikuw anataka km kumcontrol konde kwa maswali kama akandie...konde akamchana no no no wacha kunigombanisha...et mamy baby ok ok!
Walikuwa wanauliza maswali kwa mipaka flani tofauti na wasanii wengine wanaoendaga kutubu wanavyowashambulia.
Walijua watammaliza kwa huo mkataba ila kama akifanikiwa kupata haki miliki zake itakuwa aibu yao.Huu mkataba mbona ulimbana sana?
Elimu yake ni ya hapa na paleUmesoma mpaka levele ipi ya kielimu?
Huu mkataba mbona ulimbana sana?
Huo mkataba ni wa kukomoana its as if wamemwambia arudishe kila kitu alochovuna alipokuwa wasafi wkt wao pia walipata faida sana kupitia HarmonizeYes kawaida ya mkataba ukivunja lazima upe, kwa Wasafi waliko mtoa Harmonize na thamani na pesa alizokwisha kuingiza ni zaidi ya hiyo hela, So lipa tu maisha yaendelee.
Wasanii ni jeuri sana mkuu. Bila mkataba wa kumbana sana atakuachia manyoya wewe boss wake. Kama hivyo bila mkataba wa kumbana kama hivyo, unafikiri angeondokaje? Kwa fujo na jeuri huku akiendelea kutumia vitu alivyokwezwa kutokea WCB. Yeye tayari kanufaika na kukuzuia brand yake, na sasa imekuwa kuuubwa. Je, unafikiri WCB wangenufaika na nini? Wasanii wote hata USA, mikataba yao iko hivyo. Fukunyua mikataba ya Michael Jackson.Huu mkataba mbona ulimbana sana?
wewe harmonize kakupita kila kitu kasoro mafanikioMilioni mia 500 kanunua nini? Kweli Town makolongwee hayaishi.