Unateseka mumefikiria ni mavokoAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka mumefikiria ni mavokoAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
Tanasha nakuona katika ubora wako!
Clouds wamesemaje ?Harmonize ameshauri media ziache bifu na hii ndio sababu za muziki wetu kutosonga mbele compared na Nigerian music.
Katika interview ya huyu Harmo, hapa ndio nimemuelewa kuliko sehemu yoyote.
Wamtengeneze mwengine harmonizeAaah wapi,bila Mond,Konde boy angetoka wapi!?
Ametusua kupitia mgongo wa Mond
Hakulazimishwa kusign mkataba alikubali yeyemwenyewe asianze kulialia alipe hela yakuvunja mkataba.
we ndio umeyumba sasa konde boy anakolabo na wiz kid hata huyo mond anatamani sana kufanya kazi na huyo mtu
Nakushauri kasikilize interview yote.. Rich Mavoko aliporwa hadi account yake ya Youtube, amazon na apple alivyoshindwa kulipa. Akabaki kuanzisha account mpya Bilionea Kid. Harmonize accounts zake zote anazicontrol kuanzia youtube, boomplay, insta, facebook, amazon, spotify na n.k.. Youtube anaupload video zake zote.. Nyimbo mpya kaziweka kwenye account mpya katika worldwide streaming platforms zote. Angekuwa hajalipa sehemu kubwa wasingemruhusu atumie au yeye asingeweka video kule maana hatapata mapato.. Labda kama akiweka video wakipata pesa ni sehemu ya malipo.. Pia kwenye uzinduzi wa nyimbo yake leo paparazzi kaperform nyimbo zoteBado hajalipa ndio maanake ndio maana bado hajamaliza unafikiri wanashindwa kuomba restrain asitumie bidhaa zao hadi atakapo vunja mkataba rasimi?
Well saidNilicho kigundua clouds Bado wana tatizo na wasafi pia ata na harmonize..ila nikama kuna mkono mzito kama sio maagizo ya Boss yalio waforce wakubari ii interview...hawako confortable kabsa ..mzuka haupo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mavoko hana ujinga wa kulipa [emoji23][emoji23]hajatoa hata dala
ndioNilikuwa Siko Huru Ndani Ya Wasafi.... Hili ni Tusi?
ana ng'ata na kupuliza.Nimemsikiliza interview sijaona sehemu Harmonize kawajibu vibaya WCB.
Ila kuna sehemu kasema haya maugomvi ya media wakati utakuta yote mmiliki ni 1 si sawa kabisa.
Harmonize kilichomsaidia ni hizo nyumba zake na alikua karibu sana na Diamond hivyo anajua fitna zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma mpaka levele ipi ya kielimu?Duh! Huo ni unyonyaji wa wazi wazi inamaana kama huna hyo amount ndo unapotea mazima! No wonder rich mavoko amepotea masikini.
Hyo mikataba ya wasafi iangaliwe upya aisee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hoja ya kijinga unaweza ukawa na uwezo wa kuimba lakini huna uwezo wa kujiongoza na kufanya ufike mbali... Muziki haushii kwenye kuimba tuu...kuna mambo mengi na uwekezaji mkubwa una hitajika!
Mavoko hakufanya kosa kwenda WCB bali alikwenda bila malengo pia alikuwa hajitambui....ni msanii kichaa tuuu ambaye anaweza kuwa chini ya diamond na ana kipaji kama cha Mavoko na ashindwe kufanikiwa!
Wajinga walimuongezea ujinga Mavoko kuwa anafanya kosa kusimamiwa na Diamond na yeye akafikiri ni kweli kumbe ana jidanganya...wenye malengo na akili huwa hawaogopi kufanya kazi na watu wenye uwezo kama wao.....
Mavoko ni mmoja wa wasanii wajinga ndio maana alijazwa ujinga na akalewa ujinga na sasa wajinga wanamcheka kwa ujinga wake...
Boss hivi mavoko unamuonajeKwanini asitoe mkuu?
Kajifunze kwanza kuandika kenge weweananyumba 7 wewe na baba ako mnazo ngapi?
Nyumba na mpunga demu wake ndio vimemuokoa 🤣🤣🤣!Nimefatilia instagram yake naona wafuasi wameongezeka. Hata views za promo ya huu wimbo una views zaidi ya 200K.
Kiufupi Harmo kawa mjanja kuliko Mavoko. Kule kuna unyonyaji ila sasa utatokaje kama huna hela?
Ashukuru Mungu hizo nyumba zimemuokoa