Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali sasa Clouds wemepata supersubKOLABO HARMONIZE FT KIBA SOON
Huwezi kuelewa baki na ushabiki wakoAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
Angekua upinzani mda huu TRA wangekua wanamuandama.Akihojiwa na Clouds FM kwenye XXL amesema imemlazimu kulipa million 500 ili kuvunja mkaba na Kampuni ya Wasafi.
Alikiba ataweza kuimba mashair yenye ASILI ya USAFINI maana ndo yanaleta vibeKOLABO HARMONIZE FT KIBA SOON
Vitu vingine ni propaganda ww jamaa anahela sema hataki kuwa exposed anaweka siri hizo nyumba amedanganya tu coz katika hiyo mill 500 unajua kabakiza shlngp unaweza kuta kamaliza zote lakini hakutaka kusema tu.Harmonize anakosaje mil 500 kwenye acc yake?????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Yani mpaka auzew nyumba na vyote alivyonavyooo... Aisee mondi afadhali ya Ruge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
we ndio umeyumba sasa konde boy anakolabo na wiz kid hata huyo mond anatamani sana kufanya kazi na huyo mtuUkimsikiliza vizuri dogo Harmonize tayari asha haribika kisaikolojia ( Kachanganyikiwa).
Eti kauli ya Raisi ni sheria, yaani Mie umenipa sifa nimefanya vizuri.. Kwanini na mie nisikupe Sifa hata Kinafiki.
Clouds wanazidi kumpoteza Huyu kijana, Hicho chakula ndio Kabisa.. Wanakula wanapotea.
Uzuri Korosho itasimamiwa vizuri.. Atajipatia Kipato huko
Ulitaka Harmo azeekee WCB?. Maisha hayako hivo mkuu. Mbona watu hutoka kwa baba na mama waliowazaa lakini wazazi HUWATAKIA MAISHA MEMA NA BARAKA???!!!Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.
Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Mbona unadandia treni kwa mbele,unajua jamaa nilikuwa namjibu mini?Ulitaka Harmo azeekee WCB?. Maisha hayako hivo mkuu. Mbona watu hutoka kwa baba na mama waliowazaa lakini wazazi HUWATAKIA MAISHA MEMA NA BARAKA???!!!
Tuliza kipere. Kama umeandika pumba lazima ujibiwe hata kama sio na muhusika uliem-quote. Vyovyote ilivyo, understand the mesaage.Mbona unadandia treni kwa mbele,unajua jamaa nilikuwa namjibu mini?
Acha kukurupuka kasome upya nilipomjibu huyo jamaa.
Labda ww ndiye mwenye kipere uliyeshindwa kutofautisha kati ya Qboy na Harmonize.Unaonekana hata ulicho kiquote hujakielewa.Tuliza kipere. Kama umeandika pumba lazima ujibiwe hata kama sio na muhusika uliem-quote. Vyovyote ilivyo, understand the mesaage.
Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Kwanini asitoe mkuu?Hata angekua nayo asinge toa
Mavoko Kawalipa Ngapi ?
Mashabiki Wa Domo Hamna Akili
Nimefatilia instagram yake naona wafuasi wameongezeka. Hata views za promo ya huu wimbo una views zaidi ya 200K.
Kiufupi Harmo kawa mjanja kuliko Mavoko. Kule kuna unyonyaji ila sasa utatokaje kama huna hela?
Ashukuru Mungu hizo nyumba zimemuokoa
Jidanganye tu, maana mondi ndio kampa kipaji cha kuimba? Konde wakati anakashifiwa pale bongo star search alikuwa amepeleka kipaji cha upishi? Konde ni kama Mesi anasajiliwa na timu kubwa kwa kuwa ana kipaji. Mtasubiri sana aanguke lakini hamtashuhudia hilo kabisa.
DIAMOND alimsomesha binti chuo baada ya kuhitimu yule binti akapata kazi na kupata bwana mwengine na kuolewa naeHarmonize anakosaje mil 500 kwenye acc yake?????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Yani mpaka auzew nyumba na vyote alivyonavyooo... Aisee mondi afadhali ya Ruge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]