Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

Yaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!


Umute unaishi kwa dada yako unakula matunda ya jitihada za dada yako chumbani.
dada akikata UNO jamaa anashiba
 
Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.

Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.

Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Qboy alikuwa nani WASAFI?
 
Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.

Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.

Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Hiyo habari ya watu kusema q boy alinyonywa maziwa ni habari mpya na wewe ndiyo umeileta leo rasmi ila kwa akili ya darasa la 3 tu hakuna asiyejua kuwa huyo q boy hajawahi hata kuwa msanii wa wcb.

Mmakonde amewalipa pesa yenu muacheni aende akatengeneze kingdom yake kwa amani.
 
Acha ungese....ona sasa umesababisha mpaka tumejua kuwa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno.
Afunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.

Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
 
Hizo nyumba tatu na baadhi ya asset alizozipata alizouza kazitoa wapi, kama sio wasafi.

Ameamua kuuza nyumba na asset zake aanze upya.Aiseeee! Umaskini huwa unamuita mtu kwa sauti kubwa.
ananyumba 7 wewe na baba ako mnazo ngapi?
 
Afunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.

Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
Amekosea wapi kauli za swali kujibu
 
Back
Top Bottom