luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 846
- 1,394
Ila jamaa anajua kuongea na kupangilia maneno vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata angekua nayo asinge toaTatizo siyo ujinga tatizo hiyo pesa hana
sasa ney mtu wa hovyo hovyo unaweka kichwani?Kwenye hiyo interview amejiongeza hajasema alikuwa ananyonywa maana ney angemuuliza unanyinywa una maziwa
nae ana nini?Mavoko hana ujinga wa kulipa [emoji23][emoji23]hajatoa hata dala
dada akikata UNO jamaa anashibaYaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!
Umute unaishi kwa dada yako unakula matunda ya jitihada za dada yako chumbani.
Ana sauti wew una ninnae ana nini?
Qboy alikuwa nani WASAFI?Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.
Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Hiyo habari ya watu kusema q boy alinyonywa maziwa ni habari mpya na wewe ndiyo umeileta leo rasmi ila kwa akili ya darasa la 3 tu hakuna asiyejua kuwa huyo q boy hajawahi hata kuwa msanii wa wcb.Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.
Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
anafanyaga na biashara ya FOREX na ONTARIOmuziki unalipa, yaani huyu kaanza muziki juzi tu tayari ana uwezo wa kulipa m500, hatari sana
Afunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
jamaa anakoromeoKuna kauli imenifikirisha kidogo hapo alipokuwa anazungumzia migogoro ya media kusema kwamba "Unakuta mmiliki ni mmoja"
Watz kwa kukadiria maisha ya watu hamjambo.Dogo ameamua kujifukarisha kabisaaa...
Kwanini asingeanza upyaaa...
Maana take hakuna Harmonize bila Wasafi..
Pole yake Sana.
Mkikaa kimya huwa mnaficha upumbavu wenu.Hakunyonywa hata kidogo tena yeye ndo alikuwa anawanyonya wcb coz yeye ndiye alikuwa anafaidika zaidi kuliko wao walivyokuwa wanafaidika naye
Akikujibu hii unitag.Kwa hiyo analilia kurudi kule aliko kuwa ANANYONYWA?
ananyumba 7 wewe na baba ako mnazo ngapi?Hizo nyumba tatu na baadhi ya asset alizozipata alizouza kazitoa wapi, kama sio wasafi.
Ameamua kuuza nyumba na asset zake aanze upya.Aiseeee! Umaskini huwa unamuita mtu kwa sauti kubwa.
Kwa kweli.Safi sana Konde boy....
Fanya kile kinachokupa furaha.
Amekosea wapi kauli za swali kujibuAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia