Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,274
- 12,244
Hahahahahahahahah Hatari sana wabongo ndio tulivyo.Bro ulikuwa wapi wewe kumtoaa harmo?
Ukinijibu nitag!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahahah Hatari sana wabongo ndio tulivyo.Bro ulikuwa wapi wewe kumtoaa harmo?
Ukinijibu nitag!
Ali Kiba ameshakuwa zilipendwa. Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen DarlinMkuu hizo bifu ndo biashara zenyewe....kuwepo ule ushindani ndo wanapopatia kumbuka enzi zile ,Kiba Vs Mond.
Mavoko mpuuzi sana yaani jamaa kazubaa kishenzi hajui kujifanyia promo,hajui kujimarket hana kachumbari,hana udambwi udambwi pamoja na kufanya muziki muda mrefu hana hela ndio maana anahemea mipiraNimefatilia instagram yake naona wafuasi wameongezeka. Hata views za promo ya huu wimbo una views zaidi ya 200K.
Kiufupi Harmo kawa mjanja kuliko Mavoko. Kule kuna unyonyaji ila sasa utatokaje kama huna hela?
Ashukuru Mungu hizo nyumba zimemuokoa
Bila kipaji hizo show za kumuingizia pesa harmo na mind na wasafi yake angezipatia wapi? Mbona lavalava nyota yake haiwaki km konde na wote walikuwa signed under wasafi?Aaah wapi,bila Mond,Konde boy angetoka wapi!?
Ametusua kupitia mgongo wa Mond
Nakukubali sana mkuu hutakagi ujinga..!!!Yaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!
Umute unaishi kwa dada yako unakula matunda ya jitihada za dada yako chumbani.
Tatizo siyo ujinga tatizo hiyo pesa hanaMavoko hana ujinga wa kulipa 😂😂hajatoa hata dala
Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.
Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Hata kifesi alizinguana na Diamond baada ya kuingilia mahusiano yake na Zari(kiushauri).Hapo niliyemjibu alikuwa ana zungumzia kunyonywa,je Q boy alinyonywa?Inshu ya qboy ilikuwa sio kunyonywa ni utovu wa nidhamu jamaa alichukua gari la zari bila ruhusa akaenda kupiga nalo misele mind akamtimua which is not fair coz jamaa aliifanyia memgi tu mazuri wcb still wakamtupa
Usiseme msaada kwasababu hakuna msaada unaohusisha mkataba so konde kawaingizia wasafi hela km kampuni na wasafi wamemlipa stahiki km mfanyakazi na muajiriwa wa wasafi msaada unatoka wapi? Mbona alipovunja mkataba kalipa pesa km ni msaada?kumbuka vyote alivyonavyo Harmo vinatokana na msaada kutoka kwa Diamond ukiachana na MUNGU mpaka amefika hapo ni kwa nguvu za Domo usingemfahamu huyo jamaa pasipo huyo unayemuita Domo na hujui huo mkataba walikubaliana vp ko kuwa mpole
bi sandra mbona mkali sanaAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
na ngoma katoa mule muleJana Nimemwona QBoy Amebaki Kuwa Kinyozi Tu, Kariakoo !
Domo Ukimchekea Utabaki Kupata Tu Sifa Mitandaoni, Mademu, Na Show Offs.
Ukichokwa Unapigwa Chini, Unapotea.
Harmonize Kashtuka Mapema. Anaweza Kuinuka
Hakunyonywa hata kidogo tena yeye ndo alikuwa anawanyonya wcb coz yeye ndiye alikuwa anafaidika zaidi kuliko wao walivyokuwa wanafaidika nayeHata kifesi alizinguana na Diamond baada ya kuingilia mahusiano yake na Zari(kiushauri).Hapo niliyemjibu alikuwa ana zungumzia kunyonywa,je Q boy alinyonywa?
hapo ndiyo katukana kumbe?Dogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
kondeboy kipaji na ujanja vitambeba bora diamond kapata competitor sio kibamiaMavoko bado analia lia
nyamaza harmonize kakuzidi pesa hata ushawishi hata unachokiongea hawezi kukusikiliza kamwe hadi ujinga kakupita.Ukimsikiliza vizuri dogo Harmonize tayari asha haribika kisaikolojia ( Kachanganyikiwa).
Eti kauli ya Raisi ni sheria, yaani Mie umenipa sifa nimefanya vizuri.. Kwanini na mie nisikupe Sifa hata Kinafiki.
Clouds wanazidi kumpoteza Huyu kijana, Hicho chakula ndio Kabisa.. Wanakula wanapotea.
Uzuri Korosho itasimamiwa vizuri.. Atajipatia Kipato huko
DIAMOND AWE CUF RICH MAVOKO CCM MAVOKO ANAPITA ATA MIMI NIKIWA CCM NAMSHINDA DIAMONDIvi hapo hapo atakapogombea ubunge, na Dai naye akatangaza kupitia chama kingine, nani ataunyaka ubunge?!