Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
kumbuka vyote alivyonavyo Harmo vinatokana na msaada kutoka kwa Diamond ukiachana na MUNGU mpaka amefika hapo ni kwa nguvu za Domo usingemfahamu huyo jamaa pasipo huyo unayemuita Domo na hujui huo mkataba walikubaliana vp ko kuwa mpole
 
Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
kumbuka vyote alivyonavyo Harmo vinatokana na msaada kutoka kwa Diamond ukiachana na MUNGU mpaka amefika hapo ni kwa nguvu za Domo usingemfahamu huyo jamaa pasipo huyo unayemuita Domo na hujui huo mkataba walikubaliana vp ko kuwa mpole
 
Jana Nimemwona QBoy Amebaki Kuwa Kinyozi Tu, Kariakoo !

Domo Ukimchekea Utabaki Kupata Tu Sifa Mitandaoni, Mademu, Na Show Offs.

Ukichokwa Unapigwa Chini, Unapotea.

Harmonize Kashtuka Mapema. Anaweza Kuinuka
Hizo nyumba tatu na baadhi ya asset alizozipata alizouza kazitoa wapi, kama sio wasafi.

Ameamua kuuza nyumba na asset zake aanze upya.Aiseeee! Umaskini huwa unamuita mtu kwa sauti kubwa.
 
wana mdomo sana, kama kasuku.
Ila hongera, nenda kakue sasa si kila siku kumfulia dai chupi zake na za Tanasha
 
Mbosso na Lava lava na Rayvanny au Queen Darlin wataendelea kuwa pale hadi miaka 15 iishie
 
Harmonize ameshauri media ziache bifu na hii ndio sababu za muziki wetu kutosonga mbele compared na Nigerian music.

Katika interview ya huyu Harmo, hapa ndio nimemuelewa kuliko sehemu yoyote.
yan ndilo kubwa nlilolisikia mengine yote kawaida tu
Hadi wao wamelikubali hili ikiwa pamoja na mumy baby
 
Harmo aache kulialia alipe hiyo hela ya kuvunja contract kwasisi tulio Soma course ya biashara tunaiita law of contract na katika mkataba wowote Kuna kuwaga na terms of contract ndani yake ambayo yametokana na makubaliano mlioingia Kati yenu.Kwangu me naiona hiyo ni ndogo Sana tofauti ninavyoonaga kwa wenzetu hapa hapa tu Africa kiss Daniel aliambiwa alipe bil 1 Kama fidia yakulipa mkataba na label yake.
 
Hizo nyumba tatu na baadhi ya asset alizozipata alizouza kazitoa wapi, kama sio wasafi.

Ameamua kuuza nyumba na asset zake aanze upya.Aiseeee! Umaskini huwa unamuita mtu kwa sauti kubwa.
Kila Alichokipata Wasafi Kakirudisha, Aanze Upya.

Hiyo Ndo Mikataba Ya Mtu Anayejifanya "Anawasaidia" Vijana Huku Akiwaita Kina Marehemu Ruge "Wanyonyaji".
 
We si ulisema Wasafi wamenyonya amebaki kuwa kinyozi sasa hivi.

Wakati alipokuwa Wasafi alikuwa ana drive na posho analipwa kwa kazi ya kumvalisha na kumnyoa Diamond ,bila kusahau alikuwa anasafiri na Diamond sehemu yoyote ila mwenzake Kifesi ,aliyekuwa wakisafiri kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba na gari na wote walikuwa wakilipwa.

Bila kusahau mwenzake Kifesi kafungua studio kubwa ya kupiga picha,mtaji kaupata kupitia WCB.

Siku zote MUDA mwalimu mzuri ,baniani mbaya kiatu chake dawa,swala la muda tu nyeusi na nyeupe zitajulikana.
Marehemu Ruge Alikuwa Mnyonyaji.

Yeye Domo Ni Mkombozi, Mwokozi Na Anawasaidia Vijana !!!

That's Hilarious !
 
mtu maskini wa akili utamjuwa tuu yaani we una mamlaka ya kumzuia mtu asiseme kinachomhusu we nani, konde boy funguka mwananbu nothing to fear
ali kiba ameshakuwa zilipendwa. Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen Darlin
 
Nilicho kigundua clouds Bado wana tatizo na wasafi pia ata na harmonize..ila nikama kuna mkono mzito kama sio maagizo ya Boss yalio waforce wakubari ii interview...hawako confortable kabsa ..mzuka haupo...
ali kiba ameshakuwa zilipendwa. Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen Darlin
 
Afunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.

Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
Kosa lake ni lipi hasa? Mtoto kakua bado unamzuia wa nini sasa
 
Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.

Mnadai ananyonywa lkn kupitia WCB amefanikiwa kujenga nyumba mbili ambazo leo hii,anazitumia kununua sehemu ya mkataba uliobakia.

Baniani mbaya kiatu chake dawa.

Ali Kiba ameshakuwa zilipendwa. Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen Darlin
 
Kosa la Diamond ni nini hapo??? Mkataba aliousaini ndio umemtaka alipe hizo fedha tatizo lipo wapi kwa Diamond.
Mondi hana tatizo.

Ndio ujue kuwa Mondi alivyokuwa anamlaumu Ruge wakati ruge alikuwa hana tatizo
 
Bro ulikuwa wapi wewe kumtoaa harmo?
Ukinijibu nitag!
Kila Alichokipata Wasafi Kakirudisha, Aanze Upya.

Hiyo Ndo Mikataba Ya Mtu Anayejifanya "Anawasaidia" Vijana Huku Akiwaita Kina Marehemu Ruge "Wanyonyaji".
 
Back
Top Bottom