That's so rude of you to say βΉοΈSimpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Ukifika kwenye uchawi ni tag, kuna mtu wangu nataka umchawie hadi apate kizunguzungu akufe kabisa, naona ananichukulia poa sana.Muhimu...life ngumu mzee,tunajaribu kote kote
Nikishindwa uganga nakimbilia uchawiiii
Joanah tupo pamoja kwenye hiliSimpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Jibu la kibabeAsa kama wewe huwa unampigia nyeto unalazimisha wote tumpigie nyeto?
Usilazimishe upendo kwenye chuki bhana weeeee
Wewe mpigie nyeto kivyako,mie nimeandika uhalisia uliopo
Amemaliza darasa la saba kweli?
Chuki alokufunza nani? hauzaliwi nayo ila unaikuta ukubwaniSimpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Ila Magufuli alikua kaamua kutujazia vilaza bungeniπ
Alipoteza fursa sasa angekiwa bungeniPole yake kwa kuchelewa! Yule mzee wa kupitisha majina kibabe hayupo tena! Chama kimesharudi kwa wenyewe. Na ushahidi ni pale tu Dr. Bashiru Ally alipotumbuliwa ndani ya mwezi tu.
CCM ASILI haina huo upuuzi wa kuwapa nafasi watu aina ya huyo Harmonize kugombea Ubunge.
Daah kumbe siko peke yanguSimpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Tumeshapindua ukurasa na tumeshabadili kitabu, namshauri abaki na usanii wake atafika mbali... Mbeleko haipo tena.Wasaalam wana Jf.
Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.
Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.
Harmonize amesema.....
Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara
Tumeshapindua ukurasa na tumeshabadili kitabu, namshauri abaki na usanii wake atafika mbali... Mbeleko haipo tena.