Harmonize: Nitagombea Ubunge kutimiza maagizo ya Magufuli

Harmonize: Nitagombea Ubunge kutimiza maagizo ya Magufuli

Usimchukie sana
Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!

Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
 
Asa kama wewe huwa unampigia nyeto unalazimisha wote tumpigie nyeto?
Usilazimishe upendo kwenye chuki bhana weeeee

Wewe mpigie nyeto kivyako,mie nimeandika uhalisia uliopo
Jibu la kibabe
 
Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!

Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Chuki alokufunza nani? hauzaliwi nayo ila unaikuta ukubwani

Una uhakika yeye anakupenda?
 
Ila Magufuli alikua kaamua kutujazia vilaza bungeni😎

Vilaza ni rahisi sana kufuata maelekezo bila kuhoji,lengo la JIWE lilikuwa kuwatumia hao "WABUNGE WA HISANI" kubadili katiba ili aweze kuongoza tena baada ya miaka 10 yake kuisha.

Kessy aliondolewa purposely ili isionekane dhamira yake aliyoitoa wakati wanataka kumaliza bunge la 2015-2020 ila 2020-2025 walizalishwa wakina Ally Kessy wengi walioanza kuja na Aongezewe muda.

Mungu aliona mbali akaamua kufanya yake kutuepusha na sintofahamu ambayo angeweza kuileta.
 
Pole yake kwa kuchelewa! Yule mzee wa kupitisha majina kibabe hayupo tena! Chama kimesharudi kwa wenyewe. Na ushahidi ni pale tu Dr. Bashiru Ally alipotumbuliwa ndani ya mwezi tu.

CCM ASILI haina huo upuuzi wa kuwapa nafasi watu aina ya huyo Harmonize kugombea Ubunge.
Alipoteza fursa sasa angekiwa bungeni
 
Wasaalam wana Jf.

Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.

Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.

Harmonize amesema.....

Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara
Tumeshapindua ukurasa na tumeshabadili kitabu, namshauri abaki na usanii wake atafika mbali... Mbeleko haipo tena.
 
Back
Top Bottom