Ukifikia level hii nishtue fastaMuhimu...life ngumu mzee,tunajaribu kote kote
Nikishindwa uganga nakimbilia uchawiiii
Mpaka sasa sijui alikuwa anapeleka wapi Taifa. Yaani serikalini anateua Wasomi Bungeni anapeleka Mburula?Ila Magufuli alikua kaamua kutujazia vilaza bungeni[emoji41]
Nimeshangaa... eti kumuenziatagombea ubunge si kwa ajili ya kuwawakilisha wananchi bali kwa heshima ya hayati....inaogopesha hii.
😂😂Ukifikia level hii nishtue fasta
Mtu ninayemchukia nitake anipende ili iwejeChuki alokufunza nani? hauzaliwi nayo ila unaikuta ukubwani
Una uhakika yeye anakupenda?
😂😂😂 imeisha hiyoUkifika kwenye uchawi ni tag, kuna mtu wangu nataka umchawie hadi apate kizunguzungu akufe kabisa, naona ananichukulia poa sana.
Wasaalam wana Jf.
Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.
Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.
Harmonize amesema.....
Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara
na Rayvan mwambie Mbeya tunamsubiri 2025Wasaalam wana Jf.
Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.
Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.
Harmonize amesema.....
Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara
Unawajua wajumbe vizuri kweli au unabwata tu we mmakonde. Wajumbe kumbe huwajui tabia zao na uspochek vzuri utaambulia kura negativeWasaalam wana Jf.
Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.
Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.
Harmonize amesema.....
Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara
Subutuu ,Hitler jazz bandWasaalam wana Jf.
Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.
Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.
Harmonize amesema.....
Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara