Hapo unatulisha matango pori, kwenye kula za maoni ndani ya chama alipita kwa kura nyingi tu, kwenye uchaguzi hakuwa na mshindani alipita bila kupingwa, waliopita kwa hisani ni wale walioshindwa kwenye kura za maoni lakini chama kikawateua wao.Mzee aliongea kiutani kabisa hakumaanisha.....kuthibitisha hilo ajaribu kugombea then kura zitatuambia...na hivi mzee hayuko...asahau kabisa..kina Tale walipita kwa hisani ya the late Mzee na kwa sasa hayupo...bora arudiane na Sara aendelee kuhongwa.
hahahahahAlishindwa kutembea na fursa hiyo 2020 saiv asahau kabisa na vimashavu vyake km paka wa ikulu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alishindwa kutembea na fursa hiyo 2020 saiv asahau kabisa na vimashavu vyake km paka wa ikulu
Dadaa unataka kusema akikuomba papuchi yako utamnyima sio?Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Papuchi???Dadaa unataka kusema akikuomba papuchi yako utamnyima sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Papuchi???
Mimi sina papuchi
Nani atampa hata hizo kura za maoni Mshamba yuleNimeona anaongezeka UBONGE tu....kwa ubunge asahau maana hawezi kupita kwenye kura za maoni maana MEKO kashaenda.
Nani atampa hata hizo kura za maoni Mshamba yule