Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo hata kidogo

G_real

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2019
Posts
684
Reaction score
855
Ukweli ni kwamba Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo AKA #Totobad hata kidogo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
@DiasporaJay, Atakae mwangusha harmonize sio harmonize bali ni watanzania(shabiki)[emoji1][emoji1][emoji1]..

Raia huwa wanakuwa wachawi katika vitu ambavyo hawataki vifanyike, hata kama vinafanywa kwa maendeleo ya anaefanya.

Raia wana akili mgando.
 
Inabidi uelewe mziki mkuu ulivyo, kuna aina ya mziki wa ndani na kuna aina ya mziki wa nje, yaani msanii anaimba kwa ku-target kuwateka watanzania au anaimba mziki furani ku-target uoenye nje hatakama watanzania hawajaupenda...hili analiongeleaga sana Diamond, Diamond anaimba aina hii ya miziki ndio maana hatokuja shuka na Harmonize naye pia anafata nyao hizihizi ndio maana anatoboa pia Rayvanny umeona Lavalava aina yake ya mziki ni wandani tu ila Team inamtengeneza awe na miziki ya kutoka nje ndio kidogo anaimba kama Gogaga, Saura nk...nadahni umepata content.

Sasa tukija kwa msanii kama Marioo yeye kwanza ndio anatoka inabidi ateke mioyo ya watanzania kwa mziki wa ndani tu ambao ukiisikiliza unasema kweli huu mziki sasa mziki huu kibao tu wanao na wamepotea wakina Baraka Daprice, Bright, Aslay nk...haukufanyi wewe ukue ki-nje unakuwa unaimba vizuri ila unadumaa hapohapo, Diamond angekuwa anaimba aina hii tu ya mziki nakwambia kweli tusingemsikiza mwanamziki mwengine kamwe maana kwenye miziki hii Diamond ndio mwisho ila kutokana yeye mfanya Biashara hawezi kuacha kuimba kanyaga, marry you, eneka ili apenye nje..ndioa sawa na Harmonize.

Hitimisho
Kumfananisha Marioo na Harmo ni kumkosea Heshima Harmo, Harmo ni mtu ambaye kashatomoka kwenye soko la ndani anaoambana na nje sasahivi ao marioo bado anakazi kubwa ya kukuburudisha moyo wako wewe mtanzania ndio aende nje na yeye...mafano Harmo angeamua aimbe za ndani tu nakwambia uyo Marioo usingemsikiliza.
 
Mashabiki ndio watamuangusha harmonize sababu akili za watz ni za kise.....yaani mtu kuamua kutoka wcb basi imekuwa shida wanaanza kumtukana na kumponda na kumfananisha na wasanii wengine....hiii yote ni kumuabudu diamond sasa wanataka kila mtu amuabudu huyo diamond...Harmonize ni msanii mzuri kwa style yake na Marioo pia namkubali ni msanii mzuri kwa style yake na anachikifanya.....tunachotakiwa ni kuwasaport wote
 
Tatizo la marioo melody na njia zake hazibadiriki
 
Harmonize hamfikii hata jay melody

Jamaa ni mtu wa ovyo sana, anafanya colabo za ovyo kila kukicha
 
Harmonize hamfikii hata jay melody

Jamaa ni mtu wa ovyo sana, anafanya colabo za ovyo kila kukicha
Kolabo za maana alizofanya harmonize ni zile alizomshirikisha Mond, zingine ni upupu mtupu, Bora hata na zile anazopiga mwenyewe...
 
Kolabo za maana alizofanya harmonize ni zile alizomshirikisha Mond, zingine ni upupu mtupu, Bora hata na zile anazopiga mwenyewe...
Kabisa kabisa..kaenda sudan siku moja kafanya kolabo,kaenda uganda kafanya kolabo kama 3, zile alizotoa nakina yemi alade ni za ovyo bado anaendelea kutoa za ovyo
 
Hahahaha ndio ndio
Chelsea
Yanga
Barca
WCB
pro Russia ( mrussi mweusi[emoji23])
CUF[emoji41]
roger Federer
Golden state

Mnazii haswaa
Hahahaha

Chelsea
Yanga
Barca
Wcb

Mwakemwake Shem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…