mzeemkavu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 315
- 335
Ingia YouTube tafuta ngoma halisi ya kidonda changu ya harmonize utajua kipaji chake diamond achukue galasa aweke hela acha masihara amchukue sasa jumalokolo amfanye msanii mkubwa .. kipaji kwanza .. kachi ilikilize vizuri hiyo interview utasikia alisema alikuwa na project yake yakidonda changu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa tunaongelea Fact with evidence tunaposema mond alianza kuchana tunanyimbo zake za zamani kama Kisachi nk na unaposema harmo alianza imba kitambo akakutana na Mond Temeke tunaomba Fact na evidence za nyimbo ata moja tu ya kipindi yupo msanii mchanga ukiwa mnafiki au Muongo jua utasahau na unacho kiongea ni Chai na Chapati nenda Youtube fatilia interview ya harmo na millard ayo ndo utaelewa naongea nini uyu kijana nimemuona long time bado ata ajaanza rekodi nyimbo anaishi kwa Mond anafutafuta Tuzo za mond mara ana date na Huda yaani kama mond alikua anamtengenezea jamaa jina baadae ametoa nyimbo yake iyola na nyimbo nyingi Mond amefanya nae kumbost ili ajulikane na ndo msanii alietumia nguvu nyingi kumbost narudia kama hauna Fact na evidence nyamaza hapa sio ( kwenye thread yako ya kula Tunda kimasihara)
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app