Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo hata kidogo

Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo hata kidogo

Ingia YouTube tafuta ngoma halisi ya kidonda changu ya harmonize utajua kipaji chake diamond achukue galasa aweke hela acha masihara amchukue sasa jumalokolo amfanye msanii mkubwa .. kipaji kwanza .. kachi ilikilize vizuri hiyo interview utasikia alisema alikuwa na project yake yakidonda changu
Mkuu hapa tunaongelea Fact with evidence tunaposema mond alianza kuchana tunanyimbo zake za zamani kama Kisachi nk na unaposema harmo alianza imba kitambo akakutana na Mond Temeke tunaomba Fact na evidence za nyimbo ata moja tu ya kipindi yupo msanii mchanga ukiwa mnafiki au Muongo jua utasahau na unacho kiongea ni Chai na Chapati nenda Youtube fatilia interview ya harmo na millard ayo ndo utaelewa naongea nini uyu kijana nimemuona long time bado ata ajaanza rekodi nyimbo anaishi kwa Mond anafutafuta Tuzo za mond mara ana date na Huda yaani kama mond alikua anamtengenezea jamaa jina baadae ametoa nyimbo yake iyola na nyimbo nyingi Mond amefanya nae kumbost ili ajulikane na ndo msanii alietumia nguvu nyingi kumbost narudia kama hauna Fact na evidence nyamaza hapa sio ( kwenye thread yako ya kula Tunda kimasihara)


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Insane....Tangu nilipotizama ile show ya burna boy...iliyofanyika next door arena masaki..kisha kwenye stage akapanda harmonise Aisee mpaka leo hii nina kubali kwamba yule jamaa ni next level
Maana alipoanza kuimba tu ile ngoma yake ya UNO
ukumbi mzima uliripuka licja ya kwamba na mkubali sana burna boy...lakini naomba niwe mkweli zile dakika 10 tu alizopanda konde boy kwenye stage alimfunika burna boy..........ifike mahali tukubali kwamba Jamaa anajua aisee...chuki zisizo sababu hazina faida yeyote..........

Hata ile show ya fiesta....konde alitisha kuliko msanii yeyote aliyepanda kwenye stage..licha ya,kwamba mimi sio fan wake...lakini siwezi kuupinga ukweli kwamba Jamaa anajua tena sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mtupu dogo anajua biashara ya muziki yaaani alikaaa sana USAFIN na kama unavyojua anajua kutembea na swaga za kaka yake domo plus umakonde ten..harmonize atasirvive kibongobongo na hata nje ya bongo tofaut na hawa wanaoitwa kings mariooo.wataishia kuwa maarufuendani tuuu kama Aslay mavocko...domo amedhatoboa worldwide.harmonize ndo msanii wa pili kwa ukubwa kibongo bongo maana ana Vibe lake tata sana ila diamond yule mtandale ni nyok..maana footballer ni kupiga game nyingi msaanii ni kupata show NYINGI...marioo anaingia mara mia kwa mboso na kwa harmonize marioo anajaaa mara buku
 
Ingia YouTube tafuta ngoma halisi ya kidonda changu ya harmonize utajua kipaji chake diamond achukue galasa aweke hela acha masihara amchukue sasa jumalokolo amfanye msanii mkubwa .. kipaji kwanza .. kachi ilikilize vizuri hiyo interview utasikia alisema alikuwa na project yake yakidonda changu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo nyimbo aliitoa wakati yupo WCB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli mtupu dogo anajua biashara ya muziki yaaani alikaaa sana USAFIN na kama unavyojua anajua kutembea na swaga za kaka yake domo plus umakonde ten..harmonize atasirvive kibongobongo na hata nje ya bongo tofaut na hawa wanaoitwa kings mariooo.wataishia kuwa maarufuendani tuuu kama Aslay mavocko...domo amedhatoboa worldwide.harmonize ndo msanii wa pili kwa ukubwa kibongo bongo maana ana Vibe lake tata sana ila diamond yule mtandale ni nyok..maana footballer ni kupiga game nyingi msaanii ni kupata show NYINGI...marioo anaingia mara mia kwa mboso na kwa harmonize marioo anajaaa mara buku
Shabiki wa Marioo Darmian njoo uone Marioo anaingia 💯 Kwa mboso na x1000 Kwa konde boy 🤣
 
Back
Top Bottom