Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo hata kidogo

Ingia YouTube tafuta ngoma halisi ya kidonda changu ya harmonize utajua kipaji chake diamond achukue galasa aweke hela acha masihara amchukue sasa jumalokolo amfanye msanii mkubwa .. kipaji kwanza .. kachi ilikilize vizuri hiyo interview utasikia alisema alikuwa na project yake yakidonda changu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli mtupu dogo anajua biashara ya muziki yaaani alikaaa sana USAFIN na kama unavyojua anajua kutembea na swaga za kaka yake domo plus umakonde ten..harmonize atasirvive kibongobongo na hata nje ya bongo tofaut na hawa wanaoitwa kings mariooo.wataishia kuwa maarufuendani tuuu kama Aslay mavocko...domo amedhatoboa worldwide.harmonize ndo msanii wa pili kwa ukubwa kibongo bongo maana ana Vibe lake tata sana ila diamond yule mtandale ni nyok..maana footballer ni kupiga game nyingi msaanii ni kupata show NYINGI...marioo anaingia mara mia kwa mboso na kwa harmonize marioo anajaaa mara buku
 
Hiyo nyimbo aliitoa wakati yupo WCB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shabiki wa Marioo Darmian njoo uone Marioo anaingia 💯 Kwa mboso na x1000 Kwa konde boy 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…