Harmonize punguza matumizi ya sigara na vinywaji vya baridi pumzi imeanza kua shida

Sauti labda anaiharibu mwenyewe. Chege anavuta sigara mchanganyiko na bange balaa.

Fegi inawasha Fegi lakini sauti yake haijaathirika.
 
Tuacheni Wala Fegi!!! Mbona Nyie Mnanyonya Nyuch!\vikojoleo na hatuwadiss!!!!

Wapi Ubalozi(Embassy)
&Whinstone red!!!! Jah jah jah....

Hata Niwe Nimeachwa Nikla Sigara Mawazo Yanapotea!!!!!![emoji57]
 
Na Dimond mbona aligongewa Zari na MMOJA wa Psquare
 
Dah nimedindisha[emoji39]
 
In my opinion, Jamaa kala dili la kutangaza Sigara na kama ni hivyo kuposti picha zinazoonesha ameshika sigara, sioni kwa namna yeyote kunaendana na ukweli kwamba mtu anatumia sigara. And people get tired with age whether or not they are smokers!
Dili kapewa na nani mkuu mbona unatetea ujinga
 
Boss una namba ya Sarah unipe?
 
Na Dimond mbona aligongewa Zari na MMOJA wa Psquare

Yes zari aliona dayamondi anafanya matukio na yeye akaona alipize matukio...sio Psquare tu hata Trainer wake alikuwa anabanjuka naye,mihimu ni kuomba Mungu kutulia kwenye ndoa na si kuchepuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…