Harmonize punguza matumizi ya sigara na vinywaji vya baridi pumzi imeanza kua shida

Harmonize punguza matumizi ya sigara na vinywaji vya baridi pumzi imeanza kua shida

Juzi kwenye mapunduzi cup huko Zanzibar Harmonize alikua ni mmoja wa watumbuizaji, nilikua namsikiliza ila nikashangaa baada ya kuimba kidogo Jamaa pumzi ikakata na alionekana anaimba kwa shida sana ,na hapo alikua haimbi LIVE.

Nikakumbuka ile siku ya Yanga day nilidhani kwamba pumzi ilikata kutokana na kutembea kwenye ile kamba, nikiunganisha matukio na picha zake za kwenye mitandao jamaa anaonekana yupo na moshi muda wote, nahisi hiki ndo chanzo hata ukisikiliza nyimbo zake za hivi karibuni utagundua sauti ya Harmonize inakwangua sana .

Picha kutoka kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM View attachment 1678169
Sauti labda anaiharibu mwenyewe. Chege anavuta sigara mchanganyiko na bange balaa.

Fegi inawasha Fegi lakini sauti yake haijaathirika.
 
Tuacheni Wala Fegi!!! Mbona Nyie Mnanyonya Nyuch!\vikojoleo na hatuwadiss!!!!

Wapi Ubalozi(Embassy)
&Whinstone red!!!! Jah jah jah....

Hata Niwe Nimeachwa Nikla Sigara Mawazo Yanapotea!!!!!![emoji57]
 
Mwarabu Fighter - Aliyekuwa baunsa wa dayamondi alimtafuna Sarah baada ya kujulikana ikabidi dayamondi amfukuze wcb.
Ukienda Zanzibar -Sarah anajulikana zaidi kama Sarah mmasai kwasabu wamasai wa zanzibar alikuwa hana hiyana nao alikuwa anawapa mchezo sana.
Na Dimond mbona aligongewa Zari na MMOJA wa Psquare
 
Mwarabu Fighter - Aliyekuwa baunsa wa dayamondi alimtafuna Sarah baada ya kujulikana ikabidi dayamondi amfukuze wcb.
Ukienda Zanzibar -Sarah anajulikana zaidi kama Sarah mmasai kwasabu wamasai wa zanzibar alikuwa hana hiyana nao alikuwa anawapa mchezo sana.
Dah nimedindisha[emoji39]
 
In my opinion, Jamaa kala dili la kutangaza Sigara na kama ni hivyo kuposti picha zinazoonesha ameshika sigara, sioni kwa namna yeyote kunaendana na ukweli kwamba mtu anatumia sigara. And people get tired with age whether or not they are smokers!
Dili kapewa na nani mkuu mbona unatetea ujinga
 
Boss una namba ya Sarah unipe?
Mwarabu Fighter - Aliyekuwa baunsa wa dayamondi alimtafuna Sarah baada ya kujulikana ikabidi dayamondi amfukuze wcb.
Ukienda Zanzibar -Sarah anajulikana zaidi kama Sarah mmasai kwasabu wamasai wa zanzibar alikuwa hana hiyana nao alikuwa anawapa mchezo sana.
 
Na Dimond mbona aligongewa Zari na MMOJA wa Psquare

Yes zari aliona dayamondi anafanya matukio na yeye akaona alipize matukio...sio Psquare tu hata Trainer wake alikuwa anabanjuka naye,mihimu ni kuomba Mungu kutulia kwenye ndoa na si kuchepuka.
 
Back
Top Bottom