Harmonize &Raymond nani mkomao

Harmonize &Raymond nani mkomao

Mmakonde lile gimbi mguuni,,duh!!!sema namba zake ninazo,,ntampigia..
 
Harmo ana miaka 23 ila alizaliwa mwaka 1988 kwao Libobe~Mtwara kama waelekea Kitere kwa walima nyanya.
Rayvanny ana miaka 19 ila alizaliwa 1991.
Wamepishana miaka mitatu (3) tu.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Harmo ana miaka 23 ila alizaliwa mwaka 1988 kwao Libobe~Mtwara kama waelekea Kitere kwa walima nyanya.
Rayvanny ana miaka 19 ila alizaliwa 1991.
Wamepishana miaka mitatu (3) tu.
Hizi ni hesabu za dunia ya wapi?? [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yani 2016-1991=19. Hii imetokea bongo tu
 
you have been awarded 2 trophies😕😀
 
Harmo ana miaka 23 ila alizaliwa mwaka 1988 kwao Libobe~Mtwara kama waelekea Kitere kwa walima nyanya.
Rayvanny ana miaka 19 ila alizaliwa 1991.
Wamepishana miaka mitatu (3) tu.
Usiandike messej ukiwa na usingizi... ona sasa umekosea kujumlisha...
 
Back
Top Bottom