Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Six packs zinachangia bro usijipe moyo.Watoto wazuri huja tuuh automatically ukiwa smart kimaisha kazi itakua kuchagua tuuh
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Labda kupata machangudoaSix packs zinachangia bro usijipe moyo.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Bro mbona una hasira sana hahaha waache vijana wawe proud na six packs zao, wanajua nini wanafaidika.Labda kupata machangudoa
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Harmonize anakoenda anakujua mwenyewe eti nimemsikia anaongelea kumsajili mavoko kwenye hicho kijilebel chake
Ila kweli huwenda ndo usanii wenyewe wakisasa mimi pengine sifahamuBro mbona una hasira sana hahaha waache vijana wawe proud na six packs zao, wanajua nini wanafaidika.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Eeeh ndio usasa huo.Ila kweli huwenda ndo usanii wenyewe wakisasa mimi pengine sifahamu
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Mpelekee zawadi ya mashati labda atavaa, tena yale ya uji uji yatampendeza kweli.. 🤣 🤣
Yale ya dog dogMpelekee zawadi ya mashati labda atavaa, tena yale ya uji uji yatampendeza kweli.. [emoji1787] [emoji1787]
Msanii wa CCM huyoAnajidhalilisha sasa
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Huwa anasherehesha shuhuli vizuri japo Mimi si mfuatiliaji wa huu muziki wa vijana hapa njini,mimi husikiliza nyimbo Kama za GATHO,koffi olomide,pepe kalle,wenge musical,papy tex,bozi boziana,madidu system,Jimmy clif,,bembeya jazz national,charanga za celina gonzalez na nyingine nyingi za rege na muziki wa kufoka wakina 2pack,big,snoop dog na wengine wengi kipindi cha 90's old school songsMsanii wa CCM huyo
kush na Wisdom
yan ibra ndo kambeba Harmonize