Harmonize sio poa kutafuta Kiki kupitia kifo Cha Mhe Magufuli

Tusubiri vituko atakavyokuja navyo siku ya kuaga sababu siku hizi hana utofauti na hamorapa kwenye kiki za kipuuzi. Badala afocus na muziki yeye kiki zimezidi kazi amebakiza kuvizia ratiba za WCB na matukio kama haya ili ajipange kiki ya kuja nayo.
 
Tusubiri vituko atakavyokuja navyo siku ya kuaga sababu siku hizi hana utofauti na hamorapa kwenye kiki za kipuuzi. Badala afocus na muziki yeye kiki zimezidi kazi amebakiza kuvizia ratiba za WCB na matukio kama haya ili ajipange kiki ya kuja nayo.
Ila huyu jamaa kazidisha Kiki aisee hataki Kiki yoyote umpite sijui ana tatizo gani?
 
Ila huyu jamaa kazidisha Kiki aisee hataki Kiki yoyote umpite sijui ana tatizo gani?
Anaishi kwa woga kwamba matukio yakimpita nae anapotea kimuziki ndomaana sasa hivi amewekeza kwenye kiki na anashindwa kubalance na muziki. Managers wake nao ni vilaza tu sababu katika hali ya kawaida Harmonize kwa matendo yake tu anaonesha bado ana ushamba mwingi na anahitaji muongozo kwenye baadhi ya mambo lakini naona wanamuacha tu.
 
Kijana ana MHAHO.....kichwa cha habari kinasema , Konde goi fo evere bodiiii my medulaa AHAHAAA
 
Nikawaida kwa nigerians ndivyo walivyo.
 
Hapa unaweza kutumia energy kubishana, kumbe mbuzi mwenyewe unayebishana naye ndio huyu 🀣🀣🀣🀣🀣
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Huyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.
Kwakweli kesho tutaona mengi πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…