Harmonize sio poa kutafuta Kiki kupitia kifo Cha Mhe Magufuli

Harmonize sio poa kutafuta Kiki kupitia kifo Cha Mhe Magufuli

Hili dogo bana

Kila linachogusa hola

Muziki ushakufa,bado hajaamini,ila anaisoma taratibu

Hakuna muziki anatoa unakatiza popote

Then linatambalia kiki za yule dem bibi mzee,still ni useless

Sasa kavamia kifo cha yule bwana....that human being is dead....deal with it...

Utarukaruka weeee,solution ni muziki mzuri,ulishaisha,nenda kwenu ukalime umakondeni
Tusubiri vituko atakavyokuja navyo siku ya kuaga sababu siku hizi hana utofauti na hamorapa kwenye kiki za kipuuzi. Badala afocus na muziki yeye kiki zimezidi kazi amebakiza kuvizia ratiba za WCB na matukio kama haya ili ajipange kiki ya kuja nayo.
 
Tusubiri vituko atakavyokuja navyo siku ya kuaga sababu siku hizi hana utofauti na hamorapa kwenye kiki za kipuuzi. Badala afocus na muziki yeye kiki zimezidi kazi amebakiza kuvizia ratiba za WCB na matukio kama haya ili ajipange kiki ya kuja nayo.
Ila huyu jamaa kazidisha Kiki aisee hataki Kiki yoyote umpite sijui ana tatizo gani?
 
Ila huyu jamaa kazidisha Kiki aisee hataki Kiki yoyote umpite sijui ana tatizo gani?
Anaishi kwa woga kwamba matukio yakimpita nae anapotea kimuziki ndomaana sasa hivi amewekeza kwenye kiki na anashindwa kubalance na muziki. Managers wake nao ni vilaza tu sababu katika hali ya kawaida Harmonize kwa matendo yake tu anaonesha bado ana ushamba mwingi na anahitaji muongozo kwenye baadhi ya mambo lakini naona wanamuacha tu.
 
Kijana ana MHAHO.....kichwa cha habari kinasema , Konde goi fo evere bodiiii my medulaa AHAHAAA
IMG_20210319_075957.jpg
 
Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
Nikawaida kwa nigerians ndivyo walivyo.
 
Hapa unaweza kutumia energy kubishana, kumbe mbuzi mwenyewe unayebishana naye ndio huyu 🤣🤣🤣🤣🤣
👇👇👇👇👇

1616145512008.png
 
Back
Top Bottom