Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Na nimeona amepost , itakua alikua kafichwa kwakweli, tunahangaika na hili jua kumtafuta chezea mil 2, Manunu katutesa.Bosi ledi wa sauzi kasema wamemfungia ndani ili kumtafutia kiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nimeona amepost , itakua alikua kafichwa kwakweli, tunahangaika na hili jua kumtafuta chezea mil 2, Manunu katutesa.Bosi ledi wa sauzi kasema wamemfungia ndani ili kumtafutia kiki
Tusubiri vituko atakavyokuja navyo siku ya kuaga sababu siku hizi hana utofauti na hamorapa kwenye kiki za kipuuzi. Badala afocus na muziki yeye kiki zimezidi kazi amebakiza kuvizia ratiba za WCB na matukio kama haya ili ajipange kiki ya kuja nayo.Hili dogo bana
Kila linachogusa hola
Muziki ushakufa,bado hajaamini,ila anaisoma taratibu
Hakuna muziki anatoa unakatiza popote
Then linatambalia kiki za yule dem bibi mzee,still ni useless
Sasa kavamia kifo cha yule bwana....that human being is dead....deal with it...
Utarukaruka weeee,solution ni muziki mzuri,ulishaisha,nenda kwenu ukalime umakondeni
Ila huyu jamaa kazidisha Kiki aisee hataki Kiki yoyote umpite sijui ana tatizo gani?Tusubiri vituko atakavyokuja navyo siku ya kuaga sababu siku hizi hana utofauti na hamorapa kwenye kiki za kipuuzi. Badala afocus na muziki yeye kiki zimezidi kazi amebakiza kuvizia ratiba za WCB na matukio kama haya ili ajipange kiki ya kuja nayo.
Anaishi kwa woga kwamba matukio yakimpita nae anapotea kimuziki ndomaana sasa hivi amewekeza kwenye kiki na anashindwa kubalance na muziki. Managers wake nao ni vilaza tu sababu katika hali ya kawaida Harmonize kwa matendo yake tu anaonesha bado ana ushamba mwingi na anahitaji muongozo kwenye baadhi ya mambo lakini naona wanamuacha tu.Ila huyu jamaa kazidisha Kiki aisee hataki Kiki yoyote umpite sijui ana tatizo gani?
Huyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.
Ukipata muda pita kwenye hospital ya karibu na kwako ucheck afya ya akili yako Mkuu.Tundu lissu kamwe hawezi kuwa rais
Nikawaida kwa nigerians ndivyo walivyo.Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
Chawa kwenye ubora wakoHapa unaweza kutumia energy kubishana, kumbe mbuzi mwenyewe unayebishana naye ndio huyu 🤣🤣🤣🤣🤣
👇👇👇👇👇
View attachment 1729255
Mimi chawa, wewe bwabwa la Domo.Chawa kwenye ubora wako
Inaonesha una ugonjwa unaitwa diamondfobia hapa tunazungumzia habari ya harmonize wewe unamzungumzia diamond una akili kweli?Mimi chawa, wewe bwabwa la Domo.
Inaonesha una ugonjwa unaitwa diamondfobia hapa tunazungumzia habari ya harmonize wewe unamzungumzia diamond una akili kweli?
Tutabanana hapa hapa walahi!bongo sihami
Kwakweli kesho tutaona mengi 🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️Huyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.