Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kwa kifupi harmonize ana muonekano wa kishamba sana yani hata afanyeje hawezi kubadilika hata mambo anayoyafanya ni kishamba sana yani ni ya ajabu mpaka anajiaibisha kila kukicha.
Hata akipiga picha huwa hapendezi ana vimapozi flani hivi vya kindezi ndezi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mpangilio wa mambo yake pia ni wa hovyo hovyo kama yeye mwenyewe alivyo wa hovyo mpaka maskini ya Mungu inasingiziwa bangi kwamba inampeleka puta😆😆😆😆
Watu wengi tulimdharau sana pale aliposema hawezi kufanya ibada hii ya funga ya mwezi mtukufu wa ramadhani kisa eti kajala ptuuuu yani hapo nakwambia ndipo tulipo mdharau ,yani eti mtu anaacha kumtii mwenyezi Mungu kwa kisingizio cha mwanamke hii kweli ni akili au matope, na hii yote inatokana kwamba jamaa ni mkurupukaji na ushamba wake ndio maana kila kukicha hang'ai licha kupata vijisenti vya kubadilisha mboga.
Hata akipiga picha huwa hapendezi ana vimapozi flani hivi vya kindezi ndezi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mpangilio wa mambo yake pia ni wa hovyo hovyo kama yeye mwenyewe alivyo wa hovyo mpaka maskini ya Mungu inasingiziwa bangi kwamba inampeleka puta😆😆😆😆
Watu wengi tulimdharau sana pale aliposema hawezi kufanya ibada hii ya funga ya mwezi mtukufu wa ramadhani kisa eti kajala ptuuuu yani hapo nakwambia ndipo tulipo mdharau ,yani eti mtu anaacha kumtii mwenyezi Mungu kwa kisingizio cha mwanamke hii kweli ni akili au matope, na hii yote inatokana kwamba jamaa ni mkurupukaji na ushamba wake ndio maana kila kukicha hang'ai licha kupata vijisenti vya kubadilisha mboga.