Harmonize sura ya kijijini na mambo ya kijijini hayotokaa yamuishe

Harmonize sura ya kijijini na mambo ya kijijini hayotokaa yamuishe

Ni vizur kila mtu akaishi maisha yake.. Ts like an id kila mtu anayakwake man!
 
Kwa kifupi harmonize ana muonekano wa kishamba sana yani hata afanyeje hawezi kubadilika hata mambo anayoyafanya ni kishamba sana yani ni ya ajabu mpaka anajiaibisha kila kukicha.

Hata akipiga picha huwa hapendezi ana vimapozi flani hivi vya kindezi ndezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mpangilio wa mambo yake pia ni wa hovyo hovyo kama yeye mwenyewe alivyo wa hovyo mpaka maskini ya Mungu inasingiziwa bangi kwamba inampeleka puta[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Watu wengi tulimdharau sana pale aliposema hawezi kufanya ibada hii ya funga ya mwezi mtukufu wa ramadhani kisa eti kajala ptuuuu yani hapo nakwambia ndipo tulipo mdharau ,yani eti mtu anaacha kumtii mwenyezi Mungu kwa kisingizio cha mwanamke hii kweli ni akili au matope, na hii yote inatokana kwamba jamaa ni mkurupukaji na ushamba wake ndio maana kila kukicha hang'ai licha kupata vijisenti vya kubadilisha mboga.
We jamaa una mambo ya kike kike sana hata kwenye Uzi wa rikiboy tulikufukuza sababu ya kushadadia wanaume wenzio.

Asa huo ushamba wake wewe umekuuma Nini, wewe uliyefunga na Bado unaletea umbea wanaume wenzio hiyo funga yako imekusaidia Nini.
 
"Ni Ujinga nikadondokea Umachinga ,Mungu si athumani akanikutanisha na Simba".

1740992783372.png


1740992866754.png
 
Yote hayo uliyoandika kama amekuzidi pesa unaonekana una chuki binafsi tu...

We mtu ana hela kafikia billions bado una msakama... Huoni unajidhalilisha...Mimi Mwenyewe nimemkubali ..

Tangu atoke na Yule Malaika.. Demu ana Matako kilo mia Matako kama Gunia la maharage..
 
Back
Top Bottom