Harmonize sura ya kijijini na mambo ya kijijini hayotokaa yamuishe

Ni vizur kila mtu akaishi maisha yake.. Ts like an id kila mtu anayakwake man!
 
We jamaa una mambo ya kike kike sana hata kwenye Uzi wa rikiboy tulikufukuza sababu ya kushadadia wanaume wenzio.

Asa huo ushamba wake wewe umekuuma Nini, wewe uliyefunga na Bado unaletea umbea wanaume wenzio hiyo funga yako imekusaidia Nini.
 
"Ni Ujinga nikadondokea Umachinga ,Mungu si athumani akanikutanisha na Simba".



 
Yote hayo uliyoandika kama amekuzidi pesa unaonekana una chuki binafsi tu...

We mtu ana hela kafikia billions bado una msakama... Huoni unajidhalilisha...Mimi Mwenyewe nimemkubali ..

Tangu atoke na Yule Malaika.. Demu ana Matako kilo mia Matako kama Gunia la maharage..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…