Hiyo ngoma amna kitu.nimesikiliza nyimbo mbili za harmonizer happy birthday na acha nilewe nashauri itolewe acha nilewe iyo happy birthday iyo bonus tu
mkuu hiyo happy birthday umeipata wapi naitafuta kweli! kama unaweza tusaidie hapanimesikiliza nyimbo mbili za harmonizer happy birthday na acha nilewe nashauri itolewe acha nilewe iyo happy birthday iyo bonus tu
Mshapaka ma.vi yenu tayariharmonize nafasi yake imechukuliwa na harmorappa......akitoa nyimbo tutailinganisha na ya harmorapa.....maana ndio mshindani wake
Marry You imeathirika kwa kiasi fulani lakini sio sana kwa sababu ni Diamond! Lakini ingekuwa ndo hawa wengine, nadhani hadi sasa hata views 2M ingekuwa haijafikisha!!!Trust me hiyo ndio sababu hata Marry you imetoka kipindi cha kutangaza majina ya wauza unga ikapotelea hewan
Bashite kasepa na kijijiMarry You imeathirika kwa kiasi fulani lakini sio sana kwa sababu ni Diamond! Lakini ingekuwa ndo hawa wengine, nadhani hadi sasa hata views 2M ingekuwa haijafikisha!!!
Ben Pol alitoa Phone almost wakati mmoja na Marry You lakini hadi sasa ndo kwanza anaitafuta 1M !!!
Ukiangalia Youtube Trending imejaa sana habari related na Ubashite!!!
Yaani ni noma!! Mwezi umekatika hivi sasa na hizo ndo habari zinazo-trend Youtube!!!Bashite kasepa na kijiji
mkui wewe hujawahi zungumza mazuri ya wcb hata moja humu!Hiyo ngoma amna kitu.
Idea ni ile ile ya Nataka Kulewa ya Diamond.Huyu Dogo aache kupita njia za Diamond kishakuwa msanii mkubwa sasa.
aje rmx imefika wapiHizo zote zimebuma.
Wanatoka kutoa wimbo mpya wa kuwabeba
Huwa sijibu maswali yaliyo nje ya mada.aje rmx imefika wapi
Nikizingumzia mazuri wakati hakuna mazuri yenyewe huoni kuwa ntakuwa mnafiki mkuumkui wewe hujawahi zungumza mazuri ya wcb hata moja humu!
ko ni kawaida yako
Watatuelewa tuHadi team kiba wanalalamika WCB kuchelewesha wimbo wa harmonize aiseee
Ww senge tuHuwa sijibu maswali yaliyo nje ya mada.
ha haaa haaaa unafiki ni huo kuwa na mahaba mazito na team kiba kiasi kwamba unaona huwa hakoseiNikizingumzia mazuri wakati hakuna mazuri yenyewe huoni kuwa ntakuwa mnafiki mkuu
Ww senge tu
.............Ume-panic BrotherWw senge tu
Unatumia akili kweli unaposema marry you imeishia hwewani. Ile nyimbo sio ya watanzania ni ya watu wamataifa kijana.Trust me hiyo ndio sababu hata Marry you imetoka kipindi cha kutangaza majina ya wauza unga ikapotelea hewan