Harmorapa aachia Aje Remix

Mbona umepanic sana wewe ndo harmonyani?
 
Ali Kiba amwombe huyu dogo awe anamwandikia mistari... Unaona alivyo mkimbiza jamaa.
 
Huyu jamaa analeta sana utani... Siku akipanda jukwaani kuleta utani wake.. Unamtandika kofu la nguvu hadi anapatwa na kithembe...
 
Huyo ndo aliyeambiwa na mwenzake kwamba ni nyani au ni mwingine?
 
Hivi nani yupo nyuma ya hizi promo za huyu jamaa?Na ni kwa malengo gani?Any way ngoja tusubirie muziki wake.
Hkmkuu hats mm nashangaa mchz anaepewa promo humu if mpaka kinyaa huyu na mtu mwngne anaitwa eyobo mm sowajui kwa kwel ila homomrapa hajui nilowah kuona vdep zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…