Harmorapa akutana na P - Funk na kuongea mengi kuhusu music

srinavas

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
4,195
Reaction score
4,013
Msanii chipukizi anayekuja kwa kasi maarufu kama harmorapa leo amemtembelea P funk offisini kwake bongo records kwa mwaliko maalum kujadili mambo ya musiki.

Akihojiwa katika kipindi cha amplifaya clouds fm bwana p funk amemwagia sifa nyingi harmorapa kuwa ni mwandishi mzuri na atakuja kuwa tishio hapo baadae

Kwa picha zaidi kama mnavyoona hapo chini



Kupitia ukurasa wake wa instagram p funk kamposti harmorapa.




Katika tukio jingine kijana harmorapa ameonekana akiwa na burungutu la pesa ambazo bila shaka ameIpatia kwenye kazi yake nzuri ya muziki..
 
Kwahiyo siku hizi kujipost mara unanyweshwa juis, mara kwenda central kutizama kama jina lako lipo mara kudai eti hujaiba dem wa mtu na kushinda kwenye mitandao ya kijamii ndio kuja kwa kasi? Kifupi sijui wimbo ata mmoja wa huyu dogo zaid ya kick za hapa na pale
 
Payed us a visit
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[HASHTAG]#HarmoRapa4MtvAward2017[/HASHTAG]
 
Hii movie ya hamorapa mbona km Ile ya konda na dawa za kulevya
 
daaahh ijawah tokea overrating ya aina hii.....ts too much
 
Hiyo pesa hajapata kwenye kazi ya muziki mkuu. Ni kwamba alikuwa ana hojiwa juzi ijumaa na kipimdi cha shilawadu kina chorushwa na clouds tv kila siku ya ijuma. Akaulizwa huo mtonyo uliopiga nao picha ni mafanikio ya kazi yako ama vipi
.
.
Alicho jibu hamorapa ni kwamba hizo pesa ni zaboss wake hayo ni mauzo wanayokusanya dukani kwa bos hatimaye huyapeleka bank... So alipiganazo tu picha ili kupata kaharufu harafu na kuwaonyesha watoto wa mjini akina bibi money na markia elizabet wa kinondoni waweze babaika na kumtolea macho
 
anapata airtime kushinda hata kazi yake anayoifanya kama wasanii wote wangepata bahat hii tungekuwa mbali hadi muda huu siujui hata wimbo wake mmoja mkali.


zaidi ya kusikia wimbo wa darasa bla bla bla staki kusikia weka mziki wacha maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…