Nimecheka sana. Huyu Mmakonde sio wa mchezo mchezo.
Tehe tehe teheeeeee [emoji23] [emoji23]Iyo ni kampuni ya utalii,nadhan wamegundua kwamba harmorapa naye ni kivutio cha utalii.
Aisee. Huyu dogo jina kubwa kutokana na matukio yake kuliko Mziki wake. Mi naijua moja tu, kaimba na Nature lkn sijui hata jina la nyimbo!Hivi ananyimbo zipi nizitafte baadae niskilize
Hahaaaaaa ni shida kwa kweliAisee. Huyu dogo jina kubwa kutokana na matukio yake kuliko Mziki wake. Mi naijua moja tu, kaimba na Nature lkn sijui hata jina la nyimbo!