Harmorapa apata shavu tena, awa balozi

Huyu Kijana ana akili mno kwenye kuteka akili za watu.
Anapenda mziki japo sijajua kama mziki pia unampenda ila kuna vitu kidogo anakosa.
Binafsi hata Mondi alipokuwa anatoka nilidhani pumzi itakata mapema sana. Nahuyu nampa muda walau mwaka, maana nimejifunza kuna mambo mengine unajifunza ukiwa ndani ya mchezo.
 
Kuna wengi wanavipaji ila hawana uwezo wa kujitangaza. Kujitangaza ni kipaji kingine, akiweza kukaa kwenye headlines angalau mwaka mzima tu atawaacha wengi mbali maana muziki unaweza tungiwa, ukapata producer mzuri na wewe ukateleza tu
 
Hamorapa wa ukweli kinyama..niga is fuckin real..hazugi wala harembi..
 
Binafsi, sijui nyimbo yeyote inayo mhusu huyo kijana.
Kama kuna mtu mwenazo aniwekee hapa niifahamu halafu nione ninasimamia wapi kuhusu yeye
 
Kuna wengi wanavipaji ila hawana uwezo wa kujitangaza. Kujitangaza ni kipaji kingine, akiweza kukaa kwenye headlines angalau mwaka mzima tu atawaacha wengi mbali maana muziki unaweza tungiwa, ukapata producer mzuri na wewe ukateleza tu

Kabisa
Hamorappa ni fursa kwa wanaoelewa.
 
Kama hamjui lile suala la kutimka mbio kama swala Siku alipoona bastola ndio limempa ubalozi wa kinywaji cha swala
 
Maarufu afrika mashariki!!!!! Kaimba wimbo upi wa maana??? (Nimeuliza tu koz sijawahi sikia wimbo wowote kutoka kwake)
 
Maarufu afrika mashariki!!!!! Kaimba wimbo upi wa maana??? (Nimeuliza tu koz sijawahi sikia wimbo wowote kutoka kwake)
Aise kama hujui nyimbo za dogo huyu anaetikisa afrika kwa sasa basi utakua bado uko 1G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…