Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Hata wewe una fans pia, kweli wonders zinazidi kujaiv na yule hamorapper nae ana fans kwel wonders shal never end
Hii ukiifanya screen saver wanao hawataigusa simu ya tena, mtoto akiwasha simu tuu utasikia "scary monster"
ana wivu kwakuwa bothi wangu thibuka kanipa gari.....japo thina lisence:nenda kaanzish jukwaa lako
na kajisema ana Fans jaman mim nashangaa haka kajamaa kawe na Fans wakat yeye mwenyew bado ni FanHata wewe una fans pia, kweli wonders zinazidi kuja
Kuna Mtu/kikundi wanamtumia huyu bwana kama 'decoy'......ili awe anazungumziwa kuliko/kuziba nafasi ya Mwingine wanaompinga wao.Kuna kitu kinafanyika kwa kumtumia huyu jamaa, ukiangalia kwa picha tu hafananii kabisa maisha hayo... Ona jeans aliyovaa
hahahaha kiboko ya mabithooosifa za kijinga, aki athirika aanze kusumbua watu michango ya kumrestisha in peace!
kwa hiyo kuonana na gigy kuna hitaji mtonyo?Kuna Mtu/kikundi wanamtumia huyu bwana kama 'decoy'......ili awe anazungumziwa kuliko/kuziba nafasi ya Mwingine wanaompinga wao.
Ndio maana hata haihitaji degree kuona hivi move anazofanya zinahitaji nguvu/ushawishi mkubwa kufanikisha ukilinganisha na nafasi au uwezo wake.
Kukutana na kina P funky, Gigy kwa mtonyo/ushawishi gani? ni mpango unaoratibiwa kwa malengo maalum.