Harmorapa Fans' Special Thread...

frankly speaking, sijaelewa iyo facial expression ya mchizi, kama anataka kulia hivi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na alivyolishika hilo gazeti sidhani kama hata bei ya gazeti anaijua.
 

Ule mwendelezo wa kuendelea kuzichanga karata zake vyema (wengine wanaita kutafuta kiki), safari hii atembelea ofisi za HabariLeo na Daily News katika kile kinachoitwa kuvitembelea vyombo vya habari...


Pichani hapo ni babake au?
 
Angeenda kuchonga pua basi... ichongoke
 
Kwa maisha yalivyo magumu dogo apewe saport tu maana wengi wameitia njia ya kiki za madem na wametusua ssa yy anapita njia yake kiki ya harakat flan watu wanalijua hili ndo maana wanampenda [HASHTAG]#harmobolt[/HASHTAG] [HASHTAG]#harmoflash[/HASHTAG]
 

Ule mwendelezo wa kuendelea kuzichanga karata zake vyema (wengine wanaita kutafuta kiki), safari hii atembelea ofisi za HabariLeo na Daily News katika kile kinachoitwa kuvitembelea vyombo vya habari...
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…