barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
No hommo, jamaa ni mbaiyaaaaa, duh!!frankly speaking, sijaelewa iyo facial expression ya mchizi, kama anataka kulia hivi!
we fala mziki wa jite ulikuwa haushikiki!Duhh huyo mshkaji aliye na Harmorapa tulikuwa nae Azania enzi hizo tukiwakongota vijana wa Jitegemee. Jamaa alikuwa mtata sana.
wenyewe wasanii "wanaitanga" media tour.
Ule mwendelezo wa kuendelea kuzichanga karata zake vyema (wengine wanaita kutafuta kiki), safari hii atembelea ofisi za HabariLeo na Daily News katika kile kinachoitwa kuvitembelea vyombo vya habari...
Hakuna binadamu mbaya! Upuuzi wa kibinadamu tu ndiyo unatufanya tunajibagua! Allah katuumba vyema SANA.No hommo, jamaa ni mbaiyaaaaa, duh!!
Duhh huyo mshkaji aliye na Harmorapa tulikuwa nae Azania enzi hizo tukiwakongota vijana wa Jitegemee. Jamaa alikuwa mtata sana.
Wewe na avatar yako mkuu unafanana kama dingi yake...umenichekeshaa arifufrankly speaking, sijaelewa iyo facial expression ya mchizi, kama anataka kulia hivi!
Nyani NgabuKwani ni nani huyu?
We kalia kutoa sharubu huo msura wake ndiyo kik yake[emoji41] [emoji41]frankly speaking, sijaelewa iyo facial expression ya mchizi, kama anataka kulia hivi!
Mdogoake bashiteKwani ni nani huyu?