Harmorapa , Harmonize hajui kuimba anabebwa na media

Acha wamakonde washushane maana hakuna namna ingekuwa ligi ya mmakonde na mmanyema tungeingilia ila wote wamakonde ....
 
Mimi simpendiiiiii mpaka basi, hakuna alichofanya mpaka sasa... ustaa tu unamsumbua basi watu wamemuweka midomoni weee, so stupid
We jamaa ana nyota kali yani kampiki msanii wa madam wema mirror.
Kila day lazima awe talk of celebrity forum.
Kweli huyu aliaga kwao...
 
Dogo harmo rapper yuko vzuro nadhan kwa kuanzia mwaka huu tuzk za MTV atagombe na kina wiz kid
 
Kakosa kiki mtaa wa kwanza,kahamia mtaa wa pili,hagawi pathi Harmo rapa bhana! mpk anamshindanisha Kiba na Kiroboto eti kolable ilikuwa afanye na Kiba!
 
Uyo amo sijui nn, ana jipya watu wanafanya yao yeye kakalia majungu si upumbavu. Yeye aimbe anae jua wasiojua wanaheat kilakukicha kweli nyanii aoni kundule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…