Harris Kapiga na utangazaji wake wa habari

Harris Kapiga na utangazaji wake wa habari

Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.

Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda[emoji47]
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy

kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
It is true yeye anajiona kama anasoma vizuri kuliko wengine kumbe anaharibu sana.binafsi suwezi kuangalia taatifa anayosoma Hariss Kapiga nahisi kama kuna kitu anakitangaza zaidi ya taarifa.Imean kama anajitangaza yeye zaidi na kutaka aonekane yeye alafu ndio taatifa ionekane .Kwakweli ana mbwembwe zinazoleta wasiwasi mpaka unafikiria huyu mwanaume anataka nini....ananyonga nyonga mdomo mara arembue ...dah clouds wana kazi.
 
Kali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.

Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.

Ujinga mtupu.
Mkuu kuna age group wanakielewa sana hicho kipindi. Walengwa ni teenagers na early 20s fulani otherwise kitakuzingua. Ni muhimu kuangalia maudhui ya kipindi na walengwa kabla ya kulaumu.
 
Mkuu katika mtangazaj wa habar anaeboa jamaa wakwanza maana he is not serious kbsa
 
Clouds TV wanajifanya BBC, wanaiga mikogo ya kina Kikeke, kumbe sometimes wanaharibu. Ni heri kuwa siriaz tu kama ITV kuepusha ishu za namna hi
Sio sometime mkuu ni all time
 
Clouds TV wanajifanya BBC, wanaiga mikogo ya kina Kikeke, kumbe sometimes wanaharibu. Ni heri kuwa siriaz tu kama ITV kuepusha ishu za namna hi
Changanya na yule wa kipindi cha malumbano ya hoja Itv mnene sijui anaitwa nani mtu akitoa maneno anapenda sana na yeye kuweka upuuzi wake hasa akigundua huyo mtu sio detail sana
 
Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Kwa hiyo nae anaweza kuwaaa ni kipepeooooo!!!
 
This nigger
img_5996-2zd6z6f2ejeohzq6iu4phm.jpg
 
Mkuu kuna age group wanakielewa sana hicho kipindi. Walengwa ni teenagers na early 20s fulani otherwise kitakuzingua. Ni muhimu kuangalia maudhui ya kipindi na walengwa kabla ya kulaumu.

Na huwa nakisikia madogo wakija home, maana ndio vipindi vyao hivyo.
 
Kosa gani labda umeona nimelifanya hapo? Nitashukuru ukinidadavulia vizuri ili pengine Wewe sasa ndiyo uonekane una hayo makosa.
Ha haa....sithubutu sina fedha ya mchezo,lakini kuna post humu ya jamaa yake akitishia wanaomfananisha na .........
 
Kali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.

Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.

Ujinga mtupu.
umevamia rafk yangu. hayo mambo ya vijana tunayaelewa sisi vijana, kakae na mkeo/mumeo haya mambo yaache kabisa wallah ukitaka ugomvi na mimi nijibu vibaya uone, nakuheshimu
 
Clouds wafanyie kazi malalamiko. Naona idadi ya wanaokereka ni kubwa kuliko ya wasiokereka
 
Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Ha ha ha.
 
Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Daah!Nani sasa mkuu wa mkoa au haris!
 
Huyu mtu ni kanjanja tu hana depth katika uchambuzi wake, ni mtu wa kijiweni sana!
 
Back
Top Bottom