Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
It is true yeye anajiona kama anasoma vizuri kuliko wengine kumbe anaharibu sana.binafsi suwezi kuangalia taatifa anayosoma Hariss Kapiga nahisi kama kuna kitu anakitangaza zaidi ya taarifa.Imean kama anajitangaza yeye zaidi na kutaka aonekane yeye alafu ndio taatifa ionekane .Kwakweli ana mbwembwe zinazoleta wasiwasi mpaka unafikiria huyu mwanaume anataka nini....ananyonga nyonga mdomo mara arembue ...dah clouds wana kazi.Kiukweli uwa nashindwa kuelewa kwenye utangazaji habari huwa wanaelekezwa wapresent hivi au lah!!kidogo sina ujuzi huko ndugu zangu mtanisaidia.
Mara nyingi uwa akipresent habari anapenda kutoa maoni yake mwishoni.......mfano:habari ilikua ikizungumzia kuhusu wateja wa bodaboda kutopenda kuvaa helmet.....alafu mmoja wa madereva bodaboda akaulizwa kwanini huwa wateja hawavai??jibu lake likawa wateja hawapendi kwasababu wanahofia watapata maradhi kutokana na helmet kuvaliwa na watu tofautitofauti......kama kawaida harris akatoa conclusion yake kuwa kila mteja anunue helmet yake awe anatembea nayona aivae akipanda bodaboda[emoji47]
.
Eeewh!!!nikabaki nashangaa hivi inatakiwa kwelii hii!!!??na uongozi wa clouds haulioni??au kila mtu ni lazima aweke mikogo yake akihisi ananogesha kumbe analeta ucomedy
kiukweli akileta conclusion zake hizi uwa nakosa hamu ya kucheki tena habari za clouds tv......Ebu tupeane ABC kwenye uhabalishaji ndo inatakiwa hivi kweli??
Mkuu kuna age group wanakielewa sana hicho kipindi. Walengwa ni teenagers na early 20s fulani otherwise kitakuzingua. Ni muhimu kuangalia maudhui ya kipindi na walengwa kabla ya kulaumu.Kali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.
Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.
Ujinga mtupu.
Sio sometime mkuu ni all timeClouds TV wanajifanya BBC, wanaiga mikogo ya kina Kikeke, kumbe sometimes wanaharibu. Ni heri kuwa siriaz tu kama ITV kuepusha ishu za namna hi
Changanya na yule wa kipindi cha malumbano ya hoja Itv mnene sijui anaitwa nani mtu akitoa maneno anapenda sana na yeye kuweka upuuzi wake hasa akigundua huyo mtu sio detail sanaClouds TV wanajifanya BBC, wanaiga mikogo ya kina Kikeke, kumbe sometimes wanaharibu. Ni heri kuwa siriaz tu kama ITV kuepusha ishu za namna hi
Kwa hiyo nae anaweza kuwaaa ni kipepeooooo!!!Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Kosa lako utalijuwa mahakamaniKosa gani labda umeona nimelifanya hapo? Nitashukuru ukinidadavulia vizuri ili pengine Wewe sasa ndiyo uonekane una hayo makosa.
Mkuu kuna age group wanakielewa sana hicho kipindi. Walengwa ni teenagers na early 20s fulani otherwise kitakuzingua. Ni muhimu kuangalia maudhui ya kipindi na walengwa kabla ya kulaumu.
Ha haa....sithubutu sina fedha ya mchezo,lakini kuna post humu ya jamaa yake akitishia wanaomfananisha na .........Kosa gani labda umeona nimelifanya hapo? Nitashukuru ukinidadavulia vizuri ili pengine Wewe sasa ndiyo uonekane una hayo makosa.
umevamia rafk yangu. hayo mambo ya vijana tunayaelewa sisi vijana, kakae na mkeo/mumeo haya mambo yaache kabisa wallah ukitaka ugomvi na mimi nijibu vibaya uone, nakuheshimuKali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.
Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.
Ujinga mtupu.
Ha ha ha.Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?
Daah!Nani sasa mkuu wa mkoa au haris!Hivi ile Kampeni ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda ya kupambana na kuwaondoa " mashoga " wote jijini inaanza lini? Mkuu mbona umesahau pia kusema kuwa huwa anapenda sana kushika peni na kuizungusha zungusha kule kunene kunene, akiipitisha katika vidole vyake huku akirembua macho yake na akitabasamu kwa bashasha kabisa?