Harris Kapiga na utangazaji wake wa habari

Eeeh wewe ndiye dudubaya au ? Maana hii comment ni ya 2016
 
Aisee
 
Jamaaa you are very inquisitive
 
Mwe.. kmbe watu wana hizi habari kitambo sana.
 
Mkuu kaburi limefukuliwa huku!
Daah kumbe kitambo sana watu wanasafishwa mitaro yao!!!
 
Jamani jamani midomo hiyooo..Huyo Ni MTU wa Mungu Ni mtumishi.Ngoja mlaanike mshindwe kuzaaa.Hata ivyo Humu Kuna watu unbelievable Mara hatuangalii Clouds..Sasa Izo mbwembwe zake mmeoteshwa???
S[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kuna siku alisema ni siku yake yakuzaliwa kwaiyo watazamaji wote tumtakie kher yakuzaliwa na tumuimbie kidogo.kisha akaweka pozi kupisha eti tumuimbie mweh.
Hahaaa period
 
Kweli maskini ni rahisi sana kumtambua. Kwa Maneno yako haya inatosha kupredict maisha yako ni ya hali gani na future yako pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…