Harris Kapiga na utangazaji wake wa habari

Pamoja kwamba Clouds TV hqiyoi sauti yenye kushituana masikio(hii sijui kwa nini, ni tofauti na tv zingine) Lakini pia Kapiga Hana sauti yenye Mamlaka ya ushawishi kwa kusoma Habari na kuvutia watu.
Mwingine ni yule dem aliye haribu kipindi cha Molard Ayo, Count down. Anapiga makelele utandhani ni Kipindi cha Asubuhi. Vipindi lazima sauti ziendane na majira, usiku watu wanataka sauti tulivu ili kupumzisha akili sio mchana kelele usiku mayowe. Hata kwenye fiesta anajifanya comedy alafu hata hachekeshi kama Idris Sultani vile anavyo lazimisha kuchekesha.
 
Hahaa Leo nitamwangalia nione kama yasemwayo yamo
 
Kali kupita yote ni kile kipindi cha mchana sijui wanakiita XXL.
Yani ni kelele tupu. Hujui hata mantiki ya vitu vinavyoongelewa.
Nikajua nipo peke yangu....kile kipindi kikianzaga huwa nazima redio mpaka wakati wa Jahazi
 
Jamii inadai kuwa huyu mtangazaji ni shoga. Naye hajawahi kukanusha
 
Niliambiwa na jamaa angu mmoja hv kuwa mtangazaji huyo ana nyumba bagamoyo na huwa anaenda mara kwa mara...sasa b4 hujafika kwenye nyumba yake kuna dogo mmoja anakaa mitaa ya karibu na kwake huwa anasumbuliwa sana na jamaa ili akamdinye...huyo dogo anaesumbuliwa ni rafiki wa huyu jamaa angu alienipa hz taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…