Uchaguzi 2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

Uchaguzi 2020 Harrison Mwakyembe hali tete Kyela, wagombea zaidi ya 30 wa CCM wachukua fomu kumpinga

Wakuu wa CHadema mnafell Hapo tu.
Hamna Identity. Ni fuata mkumbo. Leo Nyie ndo waandika habari za hao ccm. Nawashangaa sana. My interest siku Zote sio vyama. Lakini JPM. Nachukia sana tabia za watu wavivu wavivu wanaofikiria maneno tu mwaka Mzima bila kazi. Tabia za Watu kama wewe na wengine. Hopeless. Hamna positives. Ndo mana watu makini lazima wawadharau. Mtu makini anakuwa Ana positive mind. Anaona mazuri na mapungufu. Mwangalie Mwenyekiti wenu pamoja na udikteta Wake Lakini Ni muumgwana sana. Anajua kupongeza na anajua kupinga Nk. Watu emotional kama nyie hamuwezi pta nchi. Itakuwa Vita.
Mbona hakuna lolote baya aliloandika.Sisi Kama chadema tayari tuna wagombea wetu,sio ajabu kufuatilia tutachuana na Nani kwenye nafasi za ubunge Sasa kibaya kipi?Lazima umjue unaeshindana nae,halafu usiweke siasa mbele Sana,Kuna watu wako CCM Ila wanafanya kazi hata sisi tunajua Ila mizigo Kama Mwakyembe lazima tujue Kama atapigwa Pini ama la.
Halafu hii inatupa furaha,hautaki tufurahi tinavyoona panzi wanavyoparurana?
 
Mwakyembe naye kamegwa tena kwa mbali sana?
1595280528531.png



Ila nadhani yeye ana nafasi ya nafasi za uteuzi kama vile kamishana fulani kwenye wizara ya sheria, au ukuu wa mkoa.
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

Mwakyembe - "Nimekuja Kyela nikiwa nimesha shiba msinibabaishe".

Maneno hayo yalimtoka waziri Harrison Mwakyembe alipoulizwa swali na mjumbe katika mkutano mkuu wa wilaya ktk zoezi la kuomba ridhaa apewe kura nyingi za maoni kuelekea Oktoba 2020

hapa ndipo alipojizika akiwa hai
 
20 Julai 2020
Kyela, Mbeya

Mwakyembe - "Nimekuja Kyela nikiwa nimesha shiba msinibabaishe".

Maneno hayo yalimtoka waziri Harrison Mwakyembe alipoulizwa swali na mjumbe katika mkutano mkuu wa wilaya ktk zoezi la kuomba ridhaa apewe kura nyingi za maoni kuelekea Oktoba 2020
Hata Kama lilikuwa swali la kizushi, huyu Mzee kajichanganya kulijibu. "Alilepo......"
 
Aisee, mende wameangusha kabati! 😀 😀
Alisema mende hawawezi kuangusha kabati..
Mara yeye msomi, dunia inaenda kasi, huu uchumi wa kati..

Everyday is Saturday............................😎
 
Wajumbe wakasema ahaaa!!! Kumbe umeshibaaaa
Ngoja tukutulizee

Ova
 
View attachment 1512208

Wakuu natanguliza salamu hasa baada ya mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini kushika kasi.

Taarifa kutoka Kyela zinathibitisha kwamba kwa mara ya kwanza Ndugu Mwakyembe maji yamemfika shingoni asijue la kufanya baada ya Wanaccm akiwemo anayeitwa KINANASI kuchoka na uongozi wake duni na hivyo kuamua kupambana naye kwenye kura za awali ,Vijana wengi wa ccm wanazungumza kwa lugha ya kinyakyusa huku wakijiapiza kwamba " ALILEPO KAKO " kwa kiswahili tafsiri yake ni kwamba AMEKULA VYA KUTOSHA , na sasa anapaswa kupisha wengine .

Ikumbukwe kwamba Mwenyekiti wa CCM amekwisha tamka hadharani kwamba hajamtuma mtu yeyote kugombea ubunge na kwamba kila mtu apambane na roho yake , bali inafahamika kwamba bila mbeleko Mwakyembe ataishia kwenye kura za maoni .

Tutaendelea kuwaletea habari za uchaguzi za jimbo la Kyela kila zinapojiri .

UPDATES:
Mwakyembe 252
Mwakifuna 288
Kinanasi 502
SAFI SANA,MWAKYEMBE ameramba vumbi
 
Lkn bado kuna zoezi la uteuzi ! Msubiriage matokeo msijifanye wajuaji
 
Back
Top Bottom