wana JF nimepata taarifa muda si mrefu kuwa ndugu yetu Harry makange mtangazaji yule wa Channel ten amepata ajali mbaya ya pikipiki alikuwa anatoka nyumbani kwake asubuhi kule Kibaha akielekea kazini.
naomba mwenye taarifa kamili atupe habari za uhakika.
naomba mwenye taarifa kamili atupe habari za uhakika.
Last edited by a moderator: